connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,775
- 3,842
Kijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante
Mmmmmm Bibie amefuraaasKijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante
Kukosa adab ni kusema ukweli? Ndipo tulipofika viongoz wanataka sifa tu si ukweli?Kijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante
Kusifia ni kosa?Kukosa adab ni kusema ukweli? Ndipo tulipofika viongoz wanataka sifa tu si ukweli?
Kijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria
Saa100 kaumbuka. Halafu sasa kwa zile shangwe kwa Mpina ni dhahiri wapiga kura wanamkubali Mpina!Kijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante
Ni kosa kusifu kwa kujipendekeza huku ukiathiri maendeleo ya umma.Kusifia ni kosa?
Ukweli ni kosa?Kusifia ni kosa?
Kumbe nawe ulisikia Mpina alipata shwangwe kubwa kutoka kwa raia kulinganisha na Sa100 na bashe kwenye kumzonga Mzalendo Mpina.Saa100 kaumbuka. Halafu sasa kwa zile shangwe kwa Mpina ni dhahiri wapiga kura wanamkubali Mpina!
au unadhani unamjua sana Mpina kuliko maisha yako na baba yako??Kijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante
Kamtukana?Kijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante
Bashe ana beef nae pia, sakatq la sukari wamevutana kweli kweliKumbe nawe ulisikia Mpina alipata shwangwe kubwa kutoka kwa raia kulinganisha na Sa100 na bashe kwenye kumzonga Mzalendo Mpina.
Stive Mengere A.K.A Stive Nyerere, kumbe upo na huku JF!!!?Kijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante
Hii na mimi ilinishangaza kweli kweliKumbe nawe ulisikia Mpina alipata shwangwe kubwa
Kijana kademka. Asubiri sasa mashambulizi kwa machawazKijana umekosa adabu mbele ya viongozi wako. Kabidhi jimbo kwa mwingine kusubiria uteuzi. Asante