GE2025 Mpina: Samia aliposema mimi ni Mbunge wa Taifa, alimaanisha nitakuwa Rais

GE2025 Mpina: Samia aliposema mimi ni Mbunge wa Taifa, alimaanisha nitakuwa Rais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, leo Agosti 14 jijini Dares Salaam, mgombea urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliposema kuwa yeye anafaa kuwa Mbunge wa Taifa, alimaanisha kwamna yeye atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia alitoa taarifa kauli hiyo alipokuwa ziarani mkoani Simiyu Juni 2025, akisema mbunge huyo anapaswa kuwa mbunge wa Taifa.

Amesema Bunge limegawanyika katika semu mbili ambazo ni rais na wabunge.

“Kwa hiyo, Mheshimiwa Samia aliponitazama pale aliona mimi nimeshavuka ubunge napaswa kuwa rais.”

 
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, leo Agosti 14 jijini Dares Salaam, mgombea urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliposema kuwa yeye anafaa kuwa Mbunge wa Taifa, alimaanisha kwamna yeye atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia alitoa taarifa kauli hiyo alipokuwa ziarani mkoani Simiyu Juni 2025, akisema mbunge huyo anapaswa kuwa mbunge wa Taifa.

Amesema Bunge limegawanyika katika semu mbili ambazo ni rais na wabunge.

“Kwa hiyo, Mheshimiwa Samia aliponitazama pale aliona mimi nimeshavuka ubunge napaswa kuwa rais.”
Labda Rais wa SACCOSS.
 
Mpina amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliposema kuwa yeye anafaa kuwa Mbunge wa Taifa, alimaanisha kwamna yeye atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Mbona maneno tofauti kabisa haya au mimi ndio sijui kiswahili?
Anafaa na atakuwa mbona hayafanani?
 
Back
Top Bottom