Kila mtu anajua shutuma zilizopo juu ya watajwa hapo juu.... Sasa wanaenda kujisafisha kupitia kesi ya Mpina vs Tume... INEC Ni hivi, Mpina anaenda kushinda Mahakama inatoa haki haitoi? ACT ni CCM B au inajitegemea?? Kesi dodoki NB: hizi sio tetesi wala sio za ndani..... Nimewaza nje ya box...