‘Mpiganaji‘ Bishop Kakobe

The Dude

JF-Expert Member
Sep 14, 2011
1,029
453
Uko wapi Bishop? Umekuwa kimya sana,Vipindi vyako ya tv hatuvioni tena what‘s up?

What happened kuhusu bifu lako na mzee wa upako na Rwakatare?Tumemis vijembe vyenu LIVE.

Zamani ungekuwa ushatoa kauli kuhusu mgombea binafsi,katiba mpya,mahakama ya kadhi,mafuriko n.k lakini sasa uko kimyaaah! Sanasana tunamsikia mzee wa upako tu akizungumza mambo yasiyoelewaka kuhusu shivji,katiba,jairo na JK..UKO WAPI?
What happened to you?Have you been silenced?Is it true that you‘ve blocked umeme and you‘re the cause of all our misfortunes just because Ngeleja built heavy power lines across your church?
What is going on kuhusu ile kesi ulofunguliwa na former pastors wa kanisani kwako?What is the real story behind it?
I miss you bishop,there is something about you kinanifanya nifikire you‘re my hero,but there is also something making me think otherwise..
 
Anajiandaa na kuhamia kwenye founadtion yake aliyoianzisha Boston - Marekanin
 
Anajiandaa na kuhamia kwenye founadtion yake aliyoianzisha Boston - Marekanin

Wewe tuthibitishie hapa kwamba Askofu Kakobe "Anajiandaa" kuhamia Boston. Umejuaje? Na ni maandalizi gani anafanya ya kuhamia Boston? Na anapohamia huko Kanisa la Mwenge anamwachia nani? Kumbuka hili ni jukwaa la Great Thinkers na siyo Narrow Minded. Kwa hiyo tuthibitishie hapa. Otherwise, eidha una 'bifu' na Askofu Kakobe au unashabikia usiyoyajua. Kama hujui bora uulize
 
Yule ni mtumishi wa Mungu!! Tujitaidi kuacha dhiaka!! Kama una taarifa ni vizuri kukaa kimya wakati mwingine!!
 
Uko wapi Bishop? Umekuwa kimya sana,Vipindi vyako ya tv hatuvioni tena what‘s up?

What happened kuhusu bifu lako na mzee wa upako na Rwakatare?Tumemis vijembe vyenu LIVE.

Zamani ungekuwa ushatoa kauli kuhusu mgombea binafsi,katiba mpya,mahakama ya kadhi,mafuriko n.k lakini sasa uko kimyaaah! Sanasana tunamsikia mzee wa upako tu akizungumza mambo yasiyoelewaka kuhusu shivji,katiba,jairo na JK..UKO WAPI?
What happened to you?Have you been silenced?Is it true that you‘ve blocked umeme and you‘re the cause of all our misfortunes just because Ngeleja built heavy power lines across your church?
What is going on kuhusu ile kesi ulofunguliwa na former pastors wa kanisani kwako?What is the real story behind it?
I miss you bishop,there is something about you kinanifanya nifikire you‘re my hero,but there is also something making me think otherwise..

nenda pale mwenge, karibu na mlimani city. kila j2 huwa anapanda madhabahuni labda utapata matamko. afu ujue kakobe ni next level. huzungumza panapohitajika, by da way mengi yanayotokea leo alishayasema. mf katiba alimpa wito kikwete angalau hilo afanye ili wananchi wamkumbuke kama mengine yamemshinda. hilo alisema kwenye mkesha wa mwaka juzi kuingia mwaka 2011. sasa kama serikari yenu sikivu mtajaza. mwache he is after a world now.
 
Uko wapi Bishop? Umekuwa kimya sana,Vipindi vyako ya tv hatuvioni tena what‘s up?

What happened kuhusu bifu lako na mzee wa upako na Rwakatare?Tumemis vijembe vyenu LIVE.

Zamani ungekuwa ushatoa kauli kuhusu mgombea binafsi,katiba mpya,mahakama ya kadhi,mafuriko n.k lakini sasa uko kimyaaah! Sanasana tunamsikia mzee wa upako tu akizungumza mambo yasiyoelewaka kuhusu shivji,katiba,jairo na JK..UKO WAPI?
What happened to you?Have you been silenced?Is it true that you‘ve blocked umeme and you‘re the cause of all our misfortunes just because Ngeleja built heavy power lines across your church?
What is going on kuhusu ile kesi ulofunguliwa na former pastors wa kanisani kwako?What is the real story behind it?
I miss you bishop,there is something about you kinanifanya nifikire you‘re my hero,but there is also something making me think otherwise..[/QUOTE

i GUESS THAT SOMETHING IS NOT SOME KIND OF A DEMON!!!!!!!!!!!????????:lol:
 
Kimya kingi kina mshindo....!

He is my hello too!! Ni Bishop ambaye kwa sasa nimeamini ni mtumishi wa Mungu. KUMBUKA KUHUSU ALIVYOMKEMEA BABU WA LOLIONDO, watu walimkejeli wakiwepo viongozi wa dini wenzake leo huyo Babu yupo wapi??
Ukimya wake UNAMSHINDO TUSUBIRI KWAKWELI!
 
Uko wapi Bishop? Umekuwa kimya sana,Vipindi vyako ya tv hatuvioni tena what‘s up?

What happened kuhusu bifu lako na mzee wa upako na Rwakatare?Tumemis vijembe vyenu LIVE.

Zamani ungekuwa ushatoa kauli kuhusu mgombea binafsi,katiba mpya,mahakama ya kadhi,mafuriko n.k lakini sasa uko kimyaaah! Sanasana tunamsikia mzee wa upako tu akizungumza mambo yasiyoelewaka kuhusu shivji,katiba,jairo na JK..UKO WAPI?
What happened to you?Have you been silenced?Is it true that you‘ve blocked umeme and you‘re the cause of all our misfortunes just because Ngeleja built heavy power lines across your church?
What is going on kuhusu ile kesi ulofunguliwa na former pastors wa kanisani kwako?What is the real story behind it?
I miss you bishop,there is something about you kinanifanya nifikire you‘re my hero,but there is also something making me think otherwise..

and you, you are my helloo.
 
Amekimbilia Congo na hela ya kanisa... Tetezi nilizozipata ni kwamba kanisa limefungwa., mtu ajitokee j2 akathibitishe Kama ts tru maana wengine Tupo mbali
 
Back
Top Bottom