Mpenzi wangu sio rafiki

Mpenzi wangu sio rafiki

Heheh mkuu, nikisema nitampata i mean naweza kuchukua mda kukaa chini kumake it kwa makini ili nipate wa kuendana nae
Sawa lakini utakuwa hujamtendea haki huyo bibie maana kama anakupenda kwa dhati basi utamdhulumu tu kwa kumtema kisa ni tabia yake ambayo ni maumbile aliyoumbiwa na as far as haina nguvu ya kuvunja mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No,sio kutest zari. You just imagine all the time anakupigia simu anataka muongee. Ukipokea anaongea yeye tu. Me I'm doing this and this,this is this and this. Bla blah kibao. Too much pilipili,I decide not to ate that food
I use to observe anyone since day one
Haaaa haaaa...huwezi amini hiyo njemba nishaijua Mase

Tongoza tongoza hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa lakini utakuwa hujamtendea haki huyo bibie maana kama anakupenda kwa dhati basi utamdhulumu tu kwa kumtema kisa ni tabia yake ambayo ni maumbile aliyoumbiwa na as far as haina nguvu ya kuvunja mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo bora uwe mtumwa wa kukosa furaha ya moyo kisa kumuonea huruma na kumridhisha mwingine mkuu, that your point right????
 
Kwahiyo bora uwe mtumwa wa kukosa furaha ya moyo kisa kumuonea huruma na kumridhisha mwingine mkuu, that your point right????
Ofcourse that's my point..hapo tatizo ni wewe mwenyewe tu..why ukose furaha kisa ukimya wake?...kwani ukimuongelesha hakujibu?..maadam ni muaminifu kwako na hakukosei kwa kukusudia basi huna budi kumvumilia..jipe moyo na uamini kuwa utafika wakati ataathirika na tabia zako then utayaona mabadiliko taratibu..it will take time but naamini halishindikani hilo..namuunga mkono yule mdau mwenzetu humu aliyekushauri kumuoa

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Daaaah kwahiyo wewe wity ndo huna cha kunishauri zaidi ya mimi kupambana na hali yangu jamani.
Usimuache huyo Dada mkuu...

Mwanamke nae akiwa mwongeaji ana kera sana asee bora mkimya!

Tena kipindi hiki cha awamu hii kilivyo so tough mi ningekuwa mwanaume ningehitaji mwanamke mkimya coz sitaki kuongezewa stress za maneno, nahitaji mda mwingi kutafakari!

PS:
Binafsi sipendi mwanaume mwongeaji, atanikata stimu mapemaaa kama alivyosema Maserati...narudia usimuache huyo Dada!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom