Mpenzi wangu sio rafiki

Mpenzi wangu sio rafiki

Dooooh jamani, sasa mimi kosa langu lipi? nimempa sifa yako mojawapo, ashindwe yeye tu
But usimuache msichana wako. You just tell her. Unajisikiaje na unatamani angekuwa vipi. Ongea nae kwa urefu na mapana,if possible change the location,msiwe home au sehemu mliozoea kwenda ili ajue umuhimu wa maongezi yako.
 
No,hatukuweza kuonana. We just talk thru the phone just 2 days if not within 24 hour. Kilichonikera mtu hata hatujafahamiana vizuri,basi kuwa hata na Ka staha bakisha maneno tukionana. Mmmh!!! Haikuwa hivo nikajipa moyo mengine he is excited mmmh. I just go away

Aaah 2 days, bhasi na wewe ulifanya haraka sana, uliwezaje kushindwa mapema hivo, au na wewe ndo ulikuwa unatest zali
 
Aaah 2 days, bhasi na wewe ulifanya haraka sana, uliwezaje kushindwa mapema hivo, au na wewe ndo ulikuwa unatest zali
No,sio kutest zari. You just imagine all the time anakupigia simu anataka muongee. Ukipokea anaongea yeye tu. Me I'm doing this and this,this is this and this. Bla blah kibao. Too much pilipili,I decide not to ate that food
I use to observe anyone since day one
 
huu sasa ni uchochezi. Mie sipo huko...
Hivo wakaka msiwe waongeaji sana,punguzeni basi. We @mla hata punguza na wewe kuongea. Mtazamane kama fisi waliokoswa na mshale mbakize pumzi tu huku mkitazamana

Heheheh bhasi unafikiri mi mzungumzaji basi, sema sometimes unakuwa flexible kutokana na mazingira sasa mwenzangu ameshindwa kucop, alafu unajua kuna ile mmekaa anakuja mtu mwingine mnacheka kunachangamka alafu gafra akiondoka mnarudi kwenye hali yenu ya ububu mixer kutoleana mimacho , mambo gani sasa hayo.
 
alafu unajua kuna ile mmekaa anakuja mtu mwingine mnacheka kunachangamka alafu gafra akiondoka mnarudi kwenye hali yenu ya ububu mixer kutoleana mimacho , mambo gani sasa hayo.

forgive my ribs. Navopendaa kucheka sasa. You kill me huku
 
But usimuache msichana wako. You just tell her. Unajisikiaje na unatamani angekuwa vipi. Ongea nae kwa urefu na mapana,if possible change the location,msiwe home au sehemu mliozoea kwenda ili ajue umuhimu wa maongezi yako.

Nice words. Ila na wewe kiukweli ulikata tamaa mapema na chiriku wako.
 
Back
Top Bottom