salthanks
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 3,284
- 6,862
Wengine kusaliti kwao ni kama kunywa majiUmeona eeh. We Mla Bata umeshapata mwingine au una interest na mwingine ambae unaona mna share those common interest
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine kusaliti kwao ni kama kunywa majiUmeona eeh. We Mla Bata umeshapata mwingine au una interest na mwingine ambae unaona mna share those common interest
Hili Ni tatizo kubwa sana kwetu wabongo, sababu kitu cha kwanza mwanamme anaangalia ni mdada katulia na hawezi chepuka na ni loyal. Hii ni kupendea TABIA. Mkishavuka first stage ya tabia, then reality inaset in. Wale unaoendana nao kitabia unaweza kuwa umewaona ni hajatulia type. Its a tough choice; at the end of the day wanawake wengi huwa na ex boyfriends before us. Tunatumia dogma zetu kuchuja tunaoendana nao, sababu ya tabia za nje
Relation yenyewe ndo kwanza ya cku mbili ila kwenye kung'atuka ukakutana na kichamboGuys,I was shocked. Like what the heck is this?!?! Nikajaribu kumjibu lakini nikaona mmmh. Huyu sitamuweza nikaleave conversation huko pm.
Relation yenyewe ndo kwanza ya cku mbili ila kwenye kung'atuka ukakutana na kichambo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app



Wasn't a relationship I can say,kwa sababu tuliongea hivo...I mean aliongea yeye sanaRelation yenyewe ndo kwanza ya cku mbili ila kwenye kung'atuka ukakutana na kichambo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
alivoniuliza if we can make it,I said NO.Hujafika vipi na ushaonyesha dalili za kumuacha kwenye mataa..utajiwekeaje possibility ya kumpata utakaependezewa nae by 95-100%?...sijui huyo mwingine akiwa kikojozi pia utaona kero au ni vipiHahaha sio hivyo mkuu, huko ni mbali sana , sijafika bdo
Huyu mwenzetu na huyo mcharuko wake ni kama sinema vile![]()
basi ya kwangu yaishe.Hujafika vipi na ushaonyesha dalili za kumuacha kwenye mataa..utajiwekeaje possibility ya kumpata utakaependezewa nae by 95-100%?...sijui huyo mwingine akiwa kikojozi pia utaona kero au ni vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wapo wanaojiaminisha kupata mpenzi ambae yuko perfect 100% bila ya kasoro yoyoteKuna jamaa flani aliwahi niambia unaweza ukawa na mke ila sio mpenzi, nikabisha
Sasa wewe una mpenz ila si rafiki
Wanaume mpaka tuje tuwatimizie vyote, tutakuwa tumeacha kaz tukafanya kaz
invest what you are willing to lose
Kutokujua mambo mengi ndiko kunakomfanya kutokuwa mzungumzaji.
Angekuwa anajua vitu asingekuwa mvivu kuchangia.
Kwa hiyo suluhisho pekee kwa huyo msichana ni kumfanya ajue vitu na mambo mengi yanayoendelea hapa ulimwenguni .
Nitaomba atoe kichambo kwa 3 of us,sio peke angu.Yanaishaje, na usikute mcharuko wako unasoma threa hii saizi![]()