Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Hapakuwa na uwezwkano wa kumrekebisha,anaongea hakupi nafasi ya kuongea. Mie si muongeaji sana,nikaona ananibore tuUlimueleza kuwa unakerekwa na hilo au uliamua tu kumtosa kwa kufikiria ni impossible yeye kujirekebisha
Sent using Jamii Forums mobile app
