Mpenzi wangu sio rafiki

Mpenzi wangu sio rafiki

Je umeshawahi kukaa nae ukazungumza jambo linalo kukera ukiwa nae??? Kila mtu katika uhusiano humpenda mwenzi mwenye tabia Fulani, yeye amekupendea uongeaji wako kwasababu unamchangamsha.
BTW usiombe upate manzi mwenye gugu ndani (subwoofer) utachezeshwa visingeli mpaka ujute mkuu

Pilato 007

Hehehe mkuu hivi au wasubwoofer wanakuwa wapoje yani wanaongea for no reason au???
By the way nishazungumza nae sana as i said before i think hiyo ndo tabia yake
 
Yameshanikuta mkuu, ki ukweli unachozungumza kina ukweli mtupu. Unapohitaji faraja hasa kwa jambo ambalo limekukwaza katika maisha ya kila siku huwa huipati toka kwa watu wa aina. Mwisho wa siku aidha ukubali uwe mwenyewe ujiliwaze (sijui ufanye nini?) Au utafute kampani ya nje kwa marafiki, ndugu au jamaa kwani kila unapofikiria kurudi kwake roho inazidi kusononeka kwamba haweza gundua hisia zako na akakufurahisha ingalau akutoe au akusahaulishe na matatizo. Ni changamoto kwa kweli.

Doooh mkuu naona umenizungumia the way ninavyofeel everyday, hayo yote nakumbana nayo sana, ni tatizo sana, though mkuu wewe shemeji alielewa somo inabidi nifuate mbinu zako mkuu
 
Hapakuwa na uwezwkano wa kumrekebisha,anaongea hakupi nafasi ya kuongea. Mie si muongeaji sana,nikaona ananibore tu

Hiyo ngoma yako ilikuwa too much, inawezekanaje mtu ukazungumza peke yako kama umeweuka huku mtu anakuangalia tu, hata kujishtukia hakuna duuuh
 
Hiyo ngoma yako ilikuwa too much, inawezekanaje mtu ukazungumza peke yako kama umeweuka huku mtu anakuangalia tu, hata kujishtukia hakuna duuuh
No,hatukuweza kuonana. We just talk thru the phone just 2 days if not within 24 hour. Kilichonikera mtu hata hatujafahamiana vizuri,basi kuwa hata na Ka staha bakisha maneno tukionana. Mmmh!!! Haikuwa hivo nikajipa moyo mengine he is excited mmmh. I just go away
 
Muache

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Back
Top Bottom