Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Neither chiriku nor sloth...Nina staha ya kuongea na sio slothWewe ni chiriku au ni sloth?
Neither chiriku nor sloth...Nina staha ya kuongea na sio slothWewe ni chiriku au ni sloth?
Imenibidi nicheke tu mkuu, ila hujanishauri kitu sasa

ushauri Wangu ni huu Afadhali na mkimya naweza kudeal nae lakini mpayukaji ataniharibia mood yangu..ukimya wa huyo Gf wake nahisi ana aibu sana na malezi ya getikali pia yamechangia..solution ni kumuendea kwa utaratibu tu mwisho atachangamkaAisee uaiombee upate mtu anaongea hamezi mate,anaongea kama chiriku,yaani wanaongea hana break. But upole wa kupitiliza nao tatizo. Unajihisi kama uko na msukule au uko peke ako
Neither chiriku nor sloth...Nina staha ya kuongea na sio sloth
Sawa,my point kwamba ni mrembo,anakupenda and she is loyal.For sure, buh ndo mana wanasema ts better ukapata mtu ambae mnaendana
Hata mimi simpendi mwanaume muongeaji sana,kuna dume nilimpotezea from jf wanaongea hamezi mate,over chiriku nikaona hili tatizo bahati nzuri alijua kuisoma akili angu...nikamwambia no can't move on with you.Afadhali na mkimya naweza kudeal nae lakini mpayukaji ataniharibia mood yangu..ukimya wa huyo Gf wake nahisi ana aibu sana na malezi ya getikali pia yamechangia..solution ni kumuendea kwa utaratibu tu mwisho atachangamka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwendo wa kupambana na hali zetu, all the best mkuu.
Yaani mtu ukiwa muongeaji sana unakera,ukiwa mpole sana pia inakera.
And thats how the queen should behave, i find a reason propose you.
Yameshanikuta mkuu, ki ukweli unachozungumza kina ukweli mtupu. Unapohitaji faraja hasa kwa jambo ambalo limekukwaza katika maisha ya kila siku huwa huipati toka kwa watu wa aina. Mwisho wa siku aidha ukubali uwe mwenyewe ujiliwaze (sijui ufanye nini?) Au utafute kampani ya nje kwa marafiki, ndugu au jamaa kwani kila unapofikiria kurudi kwake roho inazidi kusononeka kwamba haweza gundua hisia zako na akakufurahisha ingalau akutoe au akusahaulishe na matatizo. Ni changamoto kwa kweli.Mkuu nawe yalishakukuta nini,
Halafu WeweMwendo wa kupambana na hali zetu, all the best mkuu.
nimepata solution itabidi uwe bubu na wewe.Ulimueleza kuwa unakerekwa na hilo au uliamua tu kumtosa kwa kufikiria ni impossible yeye kujirekebishaHata mimi simpendi mwanaume muongeaji sana,kuna dume nilimpotezea from jf wanaongea hamezi mate,over chiriku nikaona hili tatizo bahati nzuri alijua kuisoma akili angu...nikamwambia no can't move on with you.
May be. But miaka miwili no changes.. Are they still there anyway??
Sawa,my point kwamba ni mrembo,anakupenda and she is loyal.
Utaweza pata mrembo,anakupiga mizinga everyday,she is ain't loyal..
Kipi kizuri?
Ila duh! Hii ngumu kumeza aisee..
Hata mimi simpendi mwanaume muongeaji sana,kuna dume nilimpotezea from jf wanaongea hamezi mate,over chiriku nikaona hili tatizo bahati nzuri alijua kuisoma akili angu...nikamwambia no can't move on with you.
May be. But miaka miwili no changes.. Are they still there anyway??
Daah hiyo fursa nilikuwa naitafuta siku nyingi embu nipe namba yake kwa maana na mimi nina tabia kama yake, nadhani tutaendana nae au vipi
Yaani mtu ukiwa muongeaji sana unakera,ukiwa mpole sana pia inakera.
Sawa,my point kwamba ni mrembo,anakupenda and she is loyal.
Utaweza pata mrembo,anakupiga mizinga everyday,she is ain't loyal..
Kipi kizuri?
Ila duh! Hii ngumu kumeza aisee..