salthanks
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 3,284
- 6,862
Na mimi mpole mkuu hata sio muongeaji![]()
![]()
![]()
Sent from my iDevice using Tapatalk
Haya Mr be first to replySent using Jamii Forums mobile app
Na mimi mpole mkuu hata sio muongeaji![]()
![]()
![]()
Sent from my iDevice using Tapatalk
Haya Mr be first to reply
Ahahaha sawa kiongozi
Ndo tukubaliane kuwa binaadam maumbile yetu yanatifautiana..ni heri yake kupata mkimya kuliko mropokajiKuwa na mpenzi wa aina hiyo ni unaboreka kweli kweli. But jitahidi tu,since she is loyal lakini Nina wasiwasi italeta Shida some other days
Mara nyingi watu wa hivyo huwa hawajui mambo mengi yanayoendelea ulimwenguni.
Mshawishi awe anasoma soma vitabu kuanzia vile vya mapenzi mpaka na hivi vya kawaida .
Ukiweza kumfanya ajue mambo mengi akikaa na wewe hatokosa cha kuzungumza.
Pia inaonesha bado hajakuzoea anahisi akiongea kama ataongea pumba vile kwa hiyo anaona suluhisho pekee ni kukaa kimya.
Kuwa na mpenzi wa aina hiyo ni unaboreka kweli kweli. But jitahidi tu,since she is loyal lakini Nina wasiwasi italeta Shida some other days
Czan kama unachosema ni kweli iyo ni haiba ya mtu tu aijalishi anajua vitu vingi au ajui.Kutokujua mambo mengi ndiko kunakomfanya kutokuwa mzungumzaji.
Angekuwa anajua vitu asingekuwa mvivu kuchangia.
Kwa hiyo suluhisho pekee kwa huyo msichana ni kumfanya ajue vitu na mambo mengi yanayoendelea hapa ulimwenguni .
Pole sana mkuu...kaa utafakari vizuri na utapata jibu la kupuuza huo msimamo wako..hakuna binaadam asiye na kasoro huu ndo ukwelimkuu mbona umefika mbali sana
Kutokujua vitu na kukosa kujiamini kunachangia watu wasiwe wazungumzaji wakihofia kutoa boko na kuonekana kituko mbele za watu.Czan kama unachosema ni kweli iyo ni haiba ya mtu tu aijalishi anajua vitu vingi au ajui.
Pole sana mkuu...kaa utafakari vizuri na utapata jibu la kupuuza huo msimamo wako..hakuna binaadam asiye na kasoro huu ndo ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejaribu kumchunguza akiwa na watu wengine na wewe haupo? Bado ni mkimya?Mmmh hapana mkuu , sio kwa namna hii
Muhimu nimekushauri lakini umeonyesha kuwa mzito kushaurikaLakini sasa mkuu kwa namna hiyo itawezekana kweli kufikia relationship goals, unajua mbaka inafikia kipindi mtu unafurahi kukaa na msichana ambae sio wako kuliko wako ni hatari hii.
Umejaribu kumchunguza akiwa na watu wengine na wewe haupo? Bado ni mkimya?