Huyu msichana bwana kutokana na malezi na maisha aliyopitia hakuweza kuchangamana sana na watoto wakiume (wanaume) kwahiyo bora mimi kuliko hao wanaume waliokuwa wakimzunguka kuanzia chuo mbaka kwenye mishughuliko yake ndo hanaga habari nao kabisa, kwa upande wa wasichana wenzake nikiwauliza wanasema wakiwa pamoja ni talkative..,sasa nashindwa kuelewa hapo
Yah iko ivoHili nalo neno mkuu
If you want to make it work, both you and your girlfriend need to understand each, treasure the ways you're different as well as they ways you're alike.
Mpe mda atabadilika and don't put pressure on her otherwise she will not loosen up as fast as you want her to....
All the Best.
Oyooo mvumulie bwana....Be blessed mkuu, ushauri mzuri sana though kiuhalisia kuna ugumu sana
Kila la heri mkuuHapana mkuu wangu ushauri wako ni muhimu sana, nitaufanyia kazi
Oyooo mvumulie bwana....
Basi jaribu kutoka naye outing, halafu na wewe usimsemeshe kama kawaida yako....bakia kimya, unaweza kumshika mkono ukichezea vidole vyake au Mguu.
Iwapo ataonyesha kuna utofauti kutoka kwako. .
let her know you love being with her without expectations of conversation...but you would like to hear more from her sometimes.
We ngoja ukutane na kina asha ngedere ndio utaipata freshi though unaboreka ila kuwa mvumilivu. Kuna aina ya wanawake huwa wana aibu sana wakiwa na wanaume mwanzoni mpaka wakikuzoea sana.
Hata GF wangu alikuwaga mtu wa hivyo nikawa naboreka nikiongea nae kwa simu majibu kama "mi sina usemi", "poa tu" ila im a talkative kind of guy ilifika mahali akafunguka tu akawa yupo relaxed kunipa stories zake za siku nzima ndipo nikaanza enjoy.
Muhimu jenga tabia ya kumtania sometimes, kucheza nae pia usiwe serious sana adi akakuogopa!
Lakini sasa mkuu kwa namna hiyo itawezekana kweli kufikia relationship goals, unajua mbaka inafikia kipindi mtu unafurahi kukaa na msichana ambae sio wako kuliko wako ni hatari hii.
Seems you fed up,but yuko loyal and she loves you.Mkuu sio inaweza kuleta, ishaleta shida mara kibao yani watoto wamjini wenyewe wanakwambia yashanifika hapaa, na huyu mpenzi mtazamaji wangu.
Relationship goals zako ni zipi mkuu? Kabla hujajibu pengine jiulize wewe priorities/vipaumbele vyako vikubwa kwenye sifa ya mwanamke ni vipi halafu angalia Kama kuwa muongeaji ni sifa iliyopo kwenye top 3.
By the way hivi kuwa muongeaji ndio kuna maanisha mwenzi wako ni rafiki eeeh!!
"Ukitaka kujua umuhimu wa mtu subiri mkiachana"
Aisee uaiombee upate mtu anaongea hamezi mate,anaongea kama chiriku,yaani wanaongea hana break. But upole wa kupitiliza nao tatizo. Unajihisi kama uko na msukule au uko peke akoNdo tukubaliane kuwa binaadam maumbile yetu yanatifautiana..ni heri yake kupata mkimya kuliko mropokaji
Sent using Jamii Forums mobile app