Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,083
- 11,239
- Thread starter
- #21
😅😅Naomba namba yake nikubembelezee mdogo wangu
😅😅Naomba namba yake nikubembelezee mdogo wangu
AwapiAmeshajua wewe ni fala, hivyo anakupanga ujae akupige vizuri!
😄😄Avatar yako imeniacha hoi kwa kicheko
Anapalilia ndoa huyo,mweke ndani Hadi nguo atasachi akisaka za vicoba.
Don't trust this people
Nakataa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh! Kumbuka huu ni mwezi January, yaani kwa jina jingine ni mwezi dume, bado utakataa?
Namuomba tuishi nae woteAnasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake 😅
Kuwa Mimi sihitaji au😅Namuomba tuishi nae wote
Duh! Kumbe marobot ya Elon musk yameisha anza kuuzwa na husemi??Anasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake 😅
Mmmh! Kumbuka huu ni mwezi January, yaani kwa jina jingine ni mwezi dume, bado utakataa?
😄😄Duh! Kumbe marobot ya Elon musk yameisha anza kuuzwa na husemi??
Shukuru MunguAnasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake [emoji28]
Anasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake [emoji28]