Habari wakuuuu
Nina changamoto kidogo na mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwenye uhusiano Kama miaka minne hivi mpaka Sasa
Wakati naanza nae uhusiano alinikuta niko vizuri kiuchumi, kifupi nilikuwa namgharamia kama ambavyo mwanaume anapaswa kumjali mpenzi wake kwa kila kitu, bila kujali ya kwamba huyo mpenzi wangu ni muajiliwa serikalini tena kazi nzuri tu na mshahara wake ni zaidi ya Million.
Katikati hapa mipango yangu imeyumba kidogo, nikamuomba aniazime pesa kidogo ambayo nitaongezea kwenye Kodi ya nyumba ambayo hata yeye huwa anafikia akija Dar, kwakuwa kituo chake cha kazi ni nje ya Dar, akanijibu hana pesa wakati najua kwenye account yake mpaka kiwango alicho nacho, tena kwenye Kodi nilipungukiwa laki mbili tu kwa kwa maaana nilikuwa na million Moja na laki sita yeye aniongezeee laki mbili tu, akadai hana pesa.
Nikaona isiwe tabu nikaongea na mwenye nyumba, Ananiheshimu namheshimu kanielewa Sana na kumbe wasiwasi wangu tu.
Baaada ya kulipa iyo Kodi nikawa mweupe Sina hata senti, kwakuwa na miradi yangu mikubwa nje ya mkoa wa Dar nayo ikawa imekaaa vyema ivyo ikanibidi nauli tu niende uko Mkoani nikamuomba elfu 30 tu akanijibu Sina na kuniambia unadhani kila mda Mimi na pesa tu, wakati najua mshaara wake na najua kwenye account Ana kiwango gani??
Nikafanya yangu Mimi nikaenda Mkoani, kaja Dar kafikia kwenye nyumba ile ile aliyogoma kuniazima laki mbili ya Kodi, gari yangu anatumia na mafuta naweka Mimi, chakula changu anakula, starehee naampa, pesa ya matumizi naampa nikikwama yeye mgumu
Nampenda ila rohoo ya kumuacha inanijia kwakuwa huyu naona ni mbinafsi wa kiwango cha lami....
Nimfanyeje huyu kiumbe kama namchoka hivi.
Nina changamoto kidogo na mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwenye uhusiano Kama miaka minne hivi mpaka Sasa
Wakati naanza nae uhusiano alinikuta niko vizuri kiuchumi, kifupi nilikuwa namgharamia kama ambavyo mwanaume anapaswa kumjali mpenzi wake kwa kila kitu, bila kujali ya kwamba huyo mpenzi wangu ni muajiliwa serikalini tena kazi nzuri tu na mshahara wake ni zaidi ya Million.
Katikati hapa mipango yangu imeyumba kidogo, nikamuomba aniazime pesa kidogo ambayo nitaongezea kwenye Kodi ya nyumba ambayo hata yeye huwa anafikia akija Dar, kwakuwa kituo chake cha kazi ni nje ya Dar, akanijibu hana pesa wakati najua kwenye account yake mpaka kiwango alicho nacho, tena kwenye Kodi nilipungukiwa laki mbili tu kwa kwa maaana nilikuwa na million Moja na laki sita yeye aniongezeee laki mbili tu, akadai hana pesa.
Nikaona isiwe tabu nikaongea na mwenye nyumba, Ananiheshimu namheshimu kanielewa Sana na kumbe wasiwasi wangu tu.
Baaada ya kulipa iyo Kodi nikawa mweupe Sina hata senti, kwakuwa na miradi yangu mikubwa nje ya mkoa wa Dar nayo ikawa imekaaa vyema ivyo ikanibidi nauli tu niende uko Mkoani nikamuomba elfu 30 tu akanijibu Sina na kuniambia unadhani kila mda Mimi na pesa tu, wakati najua mshaara wake na najua kwenye account Ana kiwango gani??
Nikafanya yangu Mimi nikaenda Mkoani, kaja Dar kafikia kwenye nyumba ile ile aliyogoma kuniazima laki mbili ya Kodi, gari yangu anatumia na mafuta naweka Mimi, chakula changu anakula, starehee naampa, pesa ya matumizi naampa nikikwama yeye mgumu
Nampenda ila rohoo ya kumuacha inanijia kwakuwa huyu naona ni mbinafsi wa kiwango cha lami....
Nimfanyeje huyu kiumbe kama namchoka hivi.