😄😄😄Mkuu unaachaje fursa hiyo,ukifa kuna jeneza lako la bure hapo, utawapunguzia gharama ndugu zako!
Ili ku restore default settings za kichwa yake!Unahitaji kupigwa kofi la kichwa wakati ukiwa umelala
HahaMkuu unaachaje fursa hiyo,ukifa kuna jeneza lako la bure hapo, utawapunguzia gharama ndugu zako!
HahaYaani mtu unakuta anaogopa jeneza halafu unakuta ndani ana kibubu
Kibubu mbona nalo ni jeneza dogo au kwakua limekosa msalaba?
Sent using unknown device

Eti mzigo..!!! Kuna mizigo mingine ni mizigo ya dhambiKwa mtaji huu wanaume wa Dar mtaendelea kudhalilika
Mwanaume unaogopaje jeneza
Yani unaacha mzigo kisa majeneza
Sent using Jamii Forums mobile app
Chiz kweli we mjamaaYaani mtu unakuta anaogopa jeneza halafu unakuta ndani ana kibubu
Kibubu mbona nalo ni jeneza dogo au kwakua limekosa msalaba?
Sent using unknown device


, nimecheka sana baada ya kukatazama kakibubu changuwe huogopi?Unaogopa kufa?



Nilidhan yanashuka toka mbinguni kuchukua wazima na wafuKwani hayo majeneza unayoyaona unafikiri huwa yanashuka kama mvua baada ya mtu kufa?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk