Claret
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 758
- 988
Kama hii siyo chai basi dunia hii kuna watu mazezeta sijawahi kuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kukosea wewe ni mwajiriwa wa sekta duni kabisa hapa nchini, au huenda hata kazi huna. Kiufupi huyo "dem" siyo size yako, huyo ni mchakarikaji mwenye kipato chake. Endelea kuyaogopa majeneza, siku ukifiwa utayatafuta mwenyewe.Wakuu,
Nimekuwa na huyu kwenye mahusiano kwa muda wa miezi sita sasa. Ana duka la vifaa vya simu maeneo ya Kariakoo na ndio hapo tulipofahamiana
Nilikuwa sifahamu mpaka leo nilipomuuliza upo wapi? Akasema nipo kuchukua mzigo umefika tokea wiki iliyopita, nikasema nakuja (nafahamu kampuni ambayo huwa inamletea mizigo yake). Akawa anakataa, nikasema poa. Nikahisi atakuwa na mwanaume, ikabidi niende kimya kimya.
Kufika nakuta kuna canter inapakia majeneza, nikamuuliza mzigo wako upo wapi? Akasema ndio huo hapo, nikawa mdogo kama piritoni.
Kumbe ana frem pale Muhimbili, huwa anaagiza majeneza China na Thailand. Nilitaka kula mzigo leo, sina hata hamu dah
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHAHAHAHAHAHWakuu,
Nimekuwa na huyu kwenye mahusiano kwa muda wa miezi sita sasa. Ana duka la vifaa vya simu maeneo ya Kariakoo na ndio hapo tulipofahamiana
Nilikuwa sifahamu mpaka leo nilipomuuliza upo wapi? Akasema nipo kuchukua mzigo umefika tokea wiki iliyopita, nikasema nakuja (nafahamu kampuni ambayo huwa inamletea mizigo yake). Akawa anakataa, nikasema poa. Nikahisi atakuwa na mwanaume, ikabidi niende kimya kimya.
Kufika nakuta kuna canter inapakia majeneza, nikamuuliza mzigo wako upo wapi? Akasema ndio huo hapo, nikawa mdogo kama piritoni.
Kumbe ana frem pale Muhimbili, huwa anaagiza majeneza China na Thailand. Nilitaka kula mzigo leo, sina hata hamu dah
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHAHAHAHAHAH
AKYANANI
UUUWI
WE KULA TU BABA SI UMEMPENDA!
UKIPENDA BOGA PENDA NA MAJENEZA YAKE
CC: 50thebe
Aaafu Wana hela wale kinoma.
Muuza majeneza Hana utofauti na muuza blanketi tu.
Tofauti Ni usingizi wanaofunikwa nao wahusika
Sent using Jamii Forums mobile app
