Mpenzi wangu kanizidi umri

Mpenzi wangu kanizidi umri

Ukwel mtupu

Member
Joined
Jan 30, 2014
Posts
40
Reaction score
8
Ndugu wana JF mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 na nina mpenzi wangu ambae tunapendana sana kwa dhati kutoka moyoni kabisa ila shida ni kuwa yeye ni mkubwa kwangu kiumri lakini yeye halijui hilo maana nilimdanganya umri wangu kuwa tuko sawa na had sasa anaamin na mpango tulionao baadae ni kuishi kama mume na mke na kila mmoja analijua hilo, sasa naombeni mawazo yenu kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzidi umri mke!
 
Si lazima mme amzidi mke umri kama ulivyo conclude japo imezoeleka hivyo katika jamii.Lakini kwanini ulimdanganya kama unampenda kweli?

Mwambie ukweli tu,na kama atakubaliana na huo ukweli na bado mkaendelea kupendana sidhani kama umri ni kigezo kikubwa.
 
Maisha ni namna unavyoyaendesha wewe,ukipenda kuishi na aliyekuzidi umri ishi nae ilimradi kuwepo na heshima na maelewano kati yenu.
 
Ndugu wana jf mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 na nina mpenz wangu ambae tunapendana sana kwa dhati kutoka moyon kabisa ila shida ni kuwa yeye ni mkubwa kwangu kiumri lakin yeye halijui hilo maana nilimdanganya umri wangu kuwa tuko sawa na had sasa anaamin na mpango tulionao baadae ni kuish kama mume na mke na kila mmoja analijua hilo, sasa naomben mawazo yenu kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzid umri mke!

Mwambie ukweli ili kuepuka matatizo yasiyo ya lazima.
 
Duu kwani yeye amekuzidi miaka mingapi......broo mimi mbona nina miaka 26......lakini nimeshawahi kuwa na mpenzi ana miaka 78....je wewe amekupita miaka mingapi
 
Ungekuwa unampenda kwa dhati usingemdanganya, wewe ni mwongo tu! Sema umeanza ku 'doubt' mapenzi yenu na sasa unatafuta sababu za kusepa!
 
Una matatizo haya
1. Uongo, labda hata yeye hapendi mwanamme mdogo kuliko yeye
2. Mapenzi yako kwake<suala la umri
3. Umekariri utaratibu wa umri ndoani

Nachukua fursa hii kutengua utaratibu wa umri katika ndoa(Mariah Carey na Cannon)
 
Ndugu wana jf mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 na nina mpenz wangu ambae tunapendana sana kwa dhati kutoka moyon kabisa ila shida ni kuwa yeye ni mkubwa kwangu kiumri lakin yeye halijui hilo maana nilimdanganya umri wangu kuwa tuko sawa na had sasa anaamin na mpango tulionao baadae ni kuish kama mume na mke na kila mmoja analijua hilo, sasa naomben mawazo yenu kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzid umri mke!

Kama umeanza kudanganya vitu vidogo kama hivyo, hiyo ndoa yenu itakuwa mashakani sana kwani kuna changamoto nyingi sana mbeleni ambazo zinaweza kupelekea mtu kushindwa kujizuia kumdanganya mwenzi wako, namaanisha kama unadanganya suala la Umri ambalo siyo ishu sana katika ndoa utaweza kweli kujizuia ku-cheat ukikutana na mitoto mikali nje ya ndoa?
 
Huo utaratibu wa umri umeandikwa wapi??
Mie nakupa ya kwangu mafundisho ya dini yaliandikwa Mtume Muhammad (25) yrs alimuoa bi Khadija (40).
Haya na wewe kwa imani yako niwekee ushahidi kuwa imekatazwa kumuoa mwanamke aliyekuzidi umri.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Ndugu wana jf mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 na nina mpenz wangu ambae tunapendana sana kwa dhati kutoka moyon kabisa ila shida ni kuwa yeye ni mkubwa kwangu kiumri lakin yeye halijui hilo maana nilimdanganya umri wangu kuwa tuko sawa na had sasa anaamin na mpango tulionao baadae ni kuish kama mume na mke na kila mmoja analijua hilo, sasa naomben mawazo yenu kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzid umri mke!

huo utaratibu umeandikwa wapi?
taratibu zote zilizopo duniani huwa unazifata?
 
Kama kweli unampenda na mnaelewana,umri siyo kikwazo kabisaa.labda kama una yako mengine pembeni huko wataka kumbwaga mwenzio kwa kusingizia umri.age is just a number if the love is true.
 
Una matatizo haya
1. Uongo, labda hata yeye hapendi mwanamme mdogo kuliko yeye
2. Mapenzi yako kwake<suala la umri
3. Umekariri utaratibu wa umri ndoani

Nachukua fursa hii kutengua utaratibu wa umri katika ndoa(Mariah Carey na Cannon)
Huwezi kutenguwa utaratibu wa umri ila is only applicable kwa wanawake wenye dongo zuri ambapo hata akikuzidi umri mwanaume ndio unaweza kuonekana mkubwa.

ila kiukweli si wanawake wengi waliojaliwa miili hiyo.Haya mambo ya age ain't but just a number kwa Africa bado kidogo.
 
Kama kweli unampenda na mnaelewana,umri siyo kikwazo kabisaa.labda kama una yako mengine pembeni huko wataka kumbwaga mwenzio kwa kusingizia umri.age is just a number if the love is true.
Acheni kudanganya wenzenu ni kwa nini uowe baadaye mwanamke ana miaka 45 tu unaogopa kutoka naye na kumtambulisha huyu ndio wife?

Tatizo la Generation hii inaongozwa na emotion tu badala ya fact na ndio maana divorce zitaongezeka mara dufu.
 
Haya basi akimbilie kwa mdogo aweze kumtambulisha
 
Huo utaratibu wa umri umeandikwa wapi??
Mie nakupa ya kwangu mafundisho ya dini yaliandikwa Mtume Muhammad (25) yrs alimuoa bi Khadija (40).
Haya na wewe kwa imani yako niwekee ushahidi kuwa imekatazwa kumuoa mwanamke aliyekuzidi umri.
Naunga mkono HOJA kwa herufi kubwa..
 
Kuna baadhi ya mila ukizidiwa umri na mdada mpenzi wako basi ni kama Laana!!
 
Ndugu wana jf mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 na nina mpenz wangu ambae tunapendana sana kwa dhati kutoka moyon kabisa ila shida ni kuwa yeye ni mkubwa kwangu kiumri lakin yeye halijui hilo maana nilimdanganya umri wangu kuwa tuko sawa na had sasa anaamin na mpango tulionao baadae ni kuish kama mume na mke na kila mmoja analijua hilo, sasa naomben mawazo yenu kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzid umri mke!
Mkuu huyu mdada hana card yako ya Hospital na usishindwe na kupika ukasingizia moshi,wajibika kwenye penzi lako kama kweli unampenda na hata akija kujua hatoona kitu kikubwa kawasababu umempenda ndio mana ukasema uwongo.....
 
Huo utaratibu wa umri umeandikwa wapi??
Mie nakupa ya kwangu mafundisho ya dini yaliandikwa Mtume Muhammad (25) yrs alimuoa bi Khadija (40).
Haya na wewe kwa imani yako niwekee ushahidi kuwa imekatazwa kumuoa mwanamke aliyekuzidi umri.
Usimu-undeestimate mtume mwamedi kwenye Mahusiano, ndio maana baada ya kudunduwa kosa la kuoa Marioo akachukuwa kibinti cha miaka 6 na kuanza kukipiga pipe kilivyofikisha miaka 9 tu
 
Back
Top Bottom