Mpenzi wangu kanipotezea, msaada wa mawazo tafadhali

Mpenzi wangu kanipotezea, msaada wa mawazo tafadhali

Pole sana wahenga walisema ukiona Moshi unafuka basi moto utawaka, ila kama hata kusoma hujui basi si umeona picha, jipange upya. Wknd njema.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ushaachwa wewe kama walivyosema wengine na wewe mpotezee kabisa akiuliza kwa nini? Sema "facebook"
Halafu mimi napenda kuachwa kwa jnsi hiyo ya kupunguza na kukata mawasiliano. Kuachwa kwa namna hii ni kwa afya sana. Tofauti na mtu kutegea mapenzi bado ya moto halafu akutext: Samahani mpezi wangu pale nilipokukosea unisamehe nami nakusamehe makosa uliyonitendea, kuanzia sasa tutakuwa marafiki tu nimempata mwingine kwa hiyo mimi na wewe basi. Nakwambia? Sijui kama hiyo samsung yako haitatupwa chooni! Yaani inauma usikie kwa mwingine.
 
Back
Top Bottom