Mpenzi wangu kanipotezea, msaada wa mawazo tafadhali

Mpenzi wangu kanipotezea, msaada wa mawazo tafadhali

Tatizo kubwa la mapenzi hayashauriki mtu unaweza ukampa ushauri mzuri tu kwamba huyo mtu akufai kwa sababu 1,2,3 so achana nae wengi wao hukubali lakini inapokuja kwenye utekelezaji wengi hushindwa hasa mwenza wakeakija akiomba forgiveness na kutoa promise mbalimbali.
 
It is so fascinating with this generation, writing/ posting everything about their life in social media, but i can tell , not everything that you post is Diamond!
we naye sasa unataka tupost nini, ndo maisha haya haya na chalenge zake, na ushauri unaupata kwa watu,yes yalishawatokea wengine mie sio wa kwanzal au ulitaka niende kwa mwenye kiti wa nyumba kumi ndo nimwambie
 
Kuna watu sijui mmekatwa kichwa...!!!
 
shoger usimwache bwanako kirahisi hivyo... mwenyewe ishawahigi nitokea hiyo miaka ya hamsini kweusi sm1 kaingia kwny A/C ya bebi angu akaanza kujipostia mipicha yake humo na kuandika utumbo wake as if bwanaangu ndo anaandika.. (note: my man mistakenly forgot to log off ye akaitumia vzr chance hiyo). nimemkalisha bwana tukayaongea akakubali he was cheating bt not to the extent ya kunireplace.. akajutraaaa na kuomba msamaha na akamchana yule dada live kwamba hana mpangonae so mapenzi btn us yakaongezeka kwasana tuuu...bibie likamshukaje sasa. Lesson: usihukumu mwenzio bila kumpa chansi ya kuelezea yaliyojiri
 
jaribu na wewe kumrusha roho uone atajibu vipi?

tikisa dada uone kilichomo ndani..

MAPENZI YAMEINGILIWA NA MATAPELI SIKU HIZI!
 
huyo jamaaa!! anajaribu kukurusha roho tuu!!
Kitendo cha wewe kukaa kimya na yeye kimempa wakati mgumu anahici umeshapata jamaa mwingine!!
na hili ni tatizo kwa wapenzi wengi ambao wko mbalimbali!! especially YOUTHS!!
 
Hebu tukae kimya kwa muda wadakika moja kwa mahusiano yanayokufa ........
CC: Tangopori .......
 
Last edited by a moderator:
Poleee dada bt ukweli ni kwamba Umeachwa japo ni ngumu songa mbele ..huyo anakukumbuka pale tu mambo yakiwa hayako sawa......na huyo mpya
ata wewe u mzuri utapata anaeku a appreciate
U DESERVE BETTER THAN HIM BE STRONG MOVE ON BELI ME UKIMOVE ON ATARUDI...N U WILL HAVE THE LAST LAUGH
BE STRONG THIS TOO SHALL PASS
 
pole sana mapenz yanaumiza tena ukiachwa na mtu umpendaye, hzo ni dalili za kukuacha anataka aone your respons
 
Wake up girl.....the guy doesnt deserve ur crying,,,he is an idiot,,,,ur his number two and thr is number one.u just tell him if he really loves it....he must put a ring on it.....ama sivyo ur too fly for his shit.
 
jamaa anakupenda ila wewe unajishusha sana thus anakuona bei ya mkaa lazima uringe ndio atajua yhamani yako na atahisi ipo siku atakupoteza kwa mfano kula buyu inamchanganya mpaka kajilengesha mwenyewe kwenye tundu la gobore we fanya kama unapoteza na sometime mfungie vioo tena vya tinted au mchane laivu kwa anazingua ndio atajistukia fanya like u dont care kuachana nae
 
Nawe mpotezee yan mpotezeane

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Back
Top Bottom