Mpenzi wangu kanipotezea, msaada wa mawazo tafadhali

Mpenzi wangu kanipotezea, msaada wa mawazo tafadhali

chimala

Senior Member
Joined
Jul 2, 2010
Posts
174
Reaction score
60
Juzi nime amaka asubuhi, nikafungu facebook, kitu cha kwanza kuona ni mpenzi wangu amecomment kwenye post yake kwamba ana belong kwa mdada fulani ,jina akaweka sio jina langu, baada ya kama nusu saa akaupdate status yake kuwa he is in a relation ship, baada ya dakika mbili akaweka picha ya mdada alomtaja awali, watu wamecomment sana wakimpa hongera na kumsifia mdada ni wa ukweli, ki ukweli dada ni mzuri sana, sikumuuliza kitu nikaaamua kukaa kimya tu, na conclude kwamba nimeachwa and nipo single tena niliumia sana.

Jana nikashangaa message inaingia kutoka kwake eti,"mpz wang hujambo, nimekukumbuka sana, unakuja lini" Nimeshindwa kumuelewa kabisa, ni kwamba ile picha ameweka ya kazi gani na aliposema anabelong kwa huyo dada alimmanisha nini,ananirusha roho ama? sielewi elewi vipi nimuulize au niendelee kukaa kimya na conclusion yangu.

Huyu mpenzi wangu tumekuwa hatuna mawasiliano mazuri kwa kipindi kama cha miezi minne hivi, tunaishi mikoa tofauti,yaani mnaweza mkawa mnawasaliana vizuri kama week then akaamua kukaa kimya tu, basi utapiga simu,hapokei sijui message hajibu, ikiwa hivyo na mimi huwa nakaa kimya tu.

Mwezi wa kumi na moja alifiwa na mdogo wake, nikahisi labda he needs space ya kuomboleza, i gave him space akikaa kimya na mie natulia mpaka awe kwenye mood ya kuongea ndo tunaongea, baada ya muda anarudi tena kwa kunisingizia eti nimemtenga, tunaongea yanaisha , then baada ya muda unaona anakupa silent treatment tena.
 
Kama ni kukurusha roho huko kumevuka mipaka, na staili hiyo ya uhusiano uliyoelezea inatia shaka wapenzi msiwasiliane kwa zaidi ya mwezi.

Lakini ili uwe huru, muulize akupe maelezo kuhusu hiyo FB status maana sidhani kama una cha kupoteza. Soma thread ya EGO.
 
Juzi nime amaka asubuhi, nikafungu facebook, kitu cha kwanza kuona ni mpenzi wangu amecomment kwenye post yake kwamba ana belong kwa mdada fulani ,jina akaweka sio jina langu, baada ya kama nusu saa akaupdate status yake kuwa he is in a relation ship, baada ya dakika mbili akaweka picha ya mdada alomtaja awali, watu wamecomment sana wakimpa hongera na kumsifia mdada ni wa ukweli, ki ukweli dada ni mzuri sana, sikumuuliza kitu nikaaamua kukaa kimya tu, na conclude kwamba nimeachwa and nipo single tena niliumia sana, jana nikashangaa message inaingia kutoka kwake eti,"mpz wang hujambo, nimekukumbuka sana, unakuja lini" Nimeshindwa kumuelewa kabisa, ni kwamba ile picha ameweka ya kazi gani na aliposema anabelong kwa huyo dada alimmanisha nini,ananirusha roho ama? sielewi elewi vipi nimuulize au niendelee kukaa kimya na conclusion yangu.



huyu mpenzi wangu tumekuwa hatuna mawasiliano mazuri kwa kipindi kama cha miezi minne hivi, tunaishi mikoa tofauti,yaani mnaweza mkawa mnawasaliana vizuri kama week then akaamua kukaa kimya tu, basi utapiga simu,hapokei sijui message hajibu, ikiwa hivyo na mimi huwa nakaa kimya tu.mwezi wa kumi na moja alifiwa na mdogo wake, nikahisi labda he needs space ya kuomboleza, i gave him space akikaa kimya na mie natulia mpaka awe kwenye mood ya kuongea ndo tunaongea, baada ya muda anarudi tena kwa kunisingizia eti nimemtenga, tunaongea yanaisha , then baada ya muda unaona anakupa silent treatment tena.

Pole sana dada. Huyu kijana mpenzi hakutaki kabisa. Anayekupenda kwa dhati ni lazima akutafute. Hata wewe umeshaliona hivyo na hukuwa hata na sababu ya kuuliza hapa. Kiukweli huwezi kuwa na maisha na huyu mwanaume.
 
Mapenzi ya facebook bana...hi face book, instagram, wasapu....imekua ni shida kwa vijana wa kileo
 
Pole bibie huyu hakutaki wala hakuitaji kabisa, mtu anaekuitaji hawezi kumweka mwanamke mwingine hadharani zaidi ataficha na hata ukimwuliza hawezi kukubali. Pili katika mapenzi mawasiliano huwa nayapa nafasi ya kwanza kama hamuwasiliani vizuri ni wazi kwamba yupo anapewa kipaumbele. Grow up girl usijipe presha bure uzuri kaweka wazi life go on fanya yako wala usiendelee kujiumiza bure.
 
It is so fascinating with this generation, writing/ posting everything about their life in social media, but i can tell , not everything that you post is Diamond!
 
Chapa lapaaaaaa. Yani huyo kakufanyia vitimbwi weee mara wiki nzima akae 2 kimya na ukimtafuta harespond, but akaona wewe mgumu sana kuelewa km hakutaki, so kaweka kabisa status in a relationship wth fulani ili ujue kuwa huna chako.

Afu sijaelewa kinachomfanya akutext ss hv, et ooh mpenzi wangu, sijui ndo anakuchora ili ajue kama umeona status yake fb or not. Anyway we mpotezee mazima, usihangaike naye kabisa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Siku zote nasema usimfanyie mwenzio kitu usichopenda kufanyiwa....
Hakufai huyo coz yuko radhi kuchezea feelings zako na hajali maumivu yako.
 
pole sana my dia
i know wht you fee..ila hapo ni wazi ushaachwa
 
Naww weka picha yangu fb halafu useme ndio mpenzi wako mpya...uckie atasemaje.
 
Huyoo jamaa anatakajua kama kweli mizan yake ipo powa
kwa kww tahadhari na wee weka uona kama anacheza na wewe au mnachezeana
 
ebu jaribu kumuuliza alikuwa anamaanisha nn katika hilo then kama haeleweki amsha popo kwani wanaume wapo kibao kama vp nipm kwa msaad zaidi
 
Back
Top Bottom