Mpenzi wangu kaniomba elfu30 nifanyeje?

Mpenzi wangu kaniomba elfu30 nifanyeje?

Jitahidi umpatie... Inanogesha mapenzi
Wasalaam
Wakuu mimi ni bahiri kelikweli
kipato changu duni sana chini ya 300K kwa mwezi, mpenzi wangu kaniomba elfu 30 aongeze yake 60 anunue smartphone wakati huo yeye ana simu nyingine,
Nifanyeje wakuu, msaada wenu tafadhali
Au nimpige chini?

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom