Mpenzi wangu kaniomba elfu30 nifanyeje?

Mpenzi wangu kaniomba elfu30 nifanyeje?

Mwambie auze hiyo simu nyingine aongezee hiyo 60elf ili anunue, mwambie hela ulizokuwa nazo umenunua kiwanja, uone kama anathamini nini kati ya simu na kiwanja {hewa}...hapo ndo utakapojua kama ni wa kupiga chini au lah...
Kula tano bro✋✋
 
Wasalaam
Wakuu mimi ni bahiri kelikweli
kipato changu duni sana chini ya 300K kwa mwezi, mpenzi wangu kaniomba elfu 30 aongeze yake 60 anunue smartphone wakati huo yeye ana simu nyingine,
Nifanyeje wakuu, msaada wenu tafadhali
Au nimpige chini?
Mpige chini umchukue mpenzi REVOLA CHAPUTA.
 
Wewe mchuga chuga wewe. Lakin sasa mbona chuga wajanja? Au wewe Wa kuja?
Chuga wana ujanja gani?
Hivi tafsiri ya ujanja kwako ni ipi?
Kuvaa mashati makubwa, suruali za kike, mabuti makubwa kama mchunga mbuzi na kuvuta bange ndo ujanja!!?
 
Wasalaam
Wakuu mimi ni bahiri kelikweli
kipato changu duni sana chini ya 300K kwa mwezi, mpenzi wangu kaniomba elfu 30 aongeze yake 60 anunue smartphone wakati huo yeye ana simu nyingine,
Nifanyeje wakuu, msaada wenu tafadhali
Au nimpige chini?
Achana naye. Kazi kuomba tu...
 
Wasalaam
Wakuu mimi ni bahiri kelikweli
kipato changu duni sana chini ya 300K kwa mwezi, mpenzi wangu kaniomba elfu 30 aongeze yake 60 anunue smartphone wakati huo yeye ana simu nyingine,
Nifanyeje wakuu, msaada wenu tafadhali
Au nimpige chini?
Pm namba yake nijaribu kumshauri
 
Mkuu umesema ni mpenzi wako,vipi K ulishakula?
Kama ulishakula piga chini,kama bado mpe ila mwambie aifuate getho
 
Wasalaam
Wakuu mimi ni bahiri kelikweli
kipato changu duni sana chini ya 300K kwa mwezi, mpenzi wangu kaniomba elfu 30 aongeze yake 60 anunue smartphone wakati huo yeye ana simu nyingine,
Nifanyeje wakuu, msaada wenu tafadhali
Au nimpige chini?

Mpe.
 
Back
Top Bottom