youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
-
- #81
utaweza ni mind setting tu mkuu.. kwanza kubaliana na hali halisi iliyojitokeza then fanya maamuzi kuwa imetokea and you need time to think .. maamuzi utakayofanya sasa yanweza kuwa si mazuri...
baada ya kuondoka umejua thamani yake ungesuluhisha mapema asngeondoka nenda kwa wazazi wake utoe taarifa kwanza kabla hujadaiwa binti wa wenyewe
Habari wanajukwaa,
Labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.
Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.
Hivi wake wa kuandalia chai waume zao bado wapo?
He he he.......pole sana.......
Naelekea Bunda kutatua matatizo ya walimu .......nikirudi nitakwambia cha kufanya.........
Habari wanajukwaa,
Labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.
Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.
karibu tena mkuuokay thank u miss chagga
karibu tena mkuu
Yupo kwangu njoo umchukue namimi asije kuniibia
karibu kupata ushauri tenanikaribie wapi tena mdada?
Hongera zake kwa kutumia fursa vizuri!
Kutoroka? ndo maana sijaoa nanina 27-33yrs na sina mpango naogopa kutendwa kama jamaa.
karibu kupata ushauri tena