IsaacMG
Member
- Dec 6, 2019
- 63
- 51
Aisee jana ilikuwa siku mbaya sana kwangu pale aliyekuwa mpenzi wangu alipoona picha za wanangu kwenye status ya WhatsApp. Aliniuliza na nikaamua kumwambia ukweli bila kuficha kitu kuwa nina watoto wawili tayari japo sijaoa. Alishindwa kunielewa nikabembeleza akagoma kunielewa na kuniambia kuwa mahusiano yangu na yeye yaishie hapo.
Aise niliumia sana na ukizingatia huyu binti nilikuwa nimemuelewa sana maana ana sifa zote za nje na ndani -- zote anazo.
Naombeni ushauri wenu, nitumie maneno gani aweze kunielewa au nifanye nini nimsahau kabisa ili maisha mengine yaweze kuendelea?
Wazoefu ushauri wenu unahitajika katika hili.
Asanteni sana.
GOD is GOOD
Aise niliumia sana na ukizingatia huyu binti nilikuwa nimemuelewa sana maana ana sifa zote za nje na ndani -- zote anazo.
Naombeni ushauri wenu, nitumie maneno gani aweze kunielewa au nifanye nini nimsahau kabisa ili maisha mengine yaweze kuendelea?
Wazoefu ushauri wenu unahitajika katika hili.
Asanteni sana.
GOD is GOOD