Mpenzi wangu kanambia nimuache kwanza

Mpenzi wangu kanambia nimuache kwanza

hahahahaha
asila asala buhahahahaha
wachana nae hakupendi kuwa muelewa
 
ni kwamba alipata usajili mpya (coutinho au Mbappe) halafu wewe ni lukaku sasa akaamua akupige benchi kwanza aangalie performance ya huo usajili mpya ila baadae akagundua huo usajili mpya una matatizo (hauna pesa, au una kibamia) akaamua arudi kwenye koloni lake la zamani, ukimkubali utakuwa mtumwa wake siku zote atakua anakuacha na kukurudia anavojiskia

i hopu umenielewa buraza
 
Pole sana...

Unataka usaidiwe nini sasa...

Alisema umuache kwanza, ukakubali na number ukafuta...

Anajirudisha baada ya akili kumkaa sawa, unafuta sms zake alafu unakuja kulia lia hapa...


Cc: mahondaw
 
Sasa unasubiri nini kumuacha... don't beg to be loved kijana
 
Bado anakuwazia kua akupende au asepe.. Sasa majibu Yako ndo yatamfanya eitha akupende au akimbie. Kuwa mvumilivu. Napenda sana mwanamke akiwa wazi hivyo. Unampa mda akiwa tayari atakuja tu bila shuruti.
 
Muache kidogo anatui jikoni.inaonekana wewe ni penda penda sasa hasira ya nini?
 
Back
Top Bottom