Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,418
- 32,516
Mitaa ya saa 2 hivi usiku niko nje mitaa ya home Kuna grocery tunapiga mbili tatu na washikaji zikaibuka pisi mbili zimekaa zimesimama pemben ya barabara kama dakika 10 hv bado wamesimama nikaona ngoja niende nikasogea piga story wakasema wanaeleka club fulan nikasema ngoja niwapeleke nikawasha chuma nikawapeleka wakafika nikampa namba yangu kesho yake akanichek.
Mm bila hiyana nikaanza kupiga sound nikajua hii midemu inayoendaga club hainaga maelezo mengi nikamwaga sera zangu full maneno ya kiutu uzima, Khee kilichonikuta baby wangu kanitumia hizo sms zote nilizokuwa nachart na huyo demu.
Mpka sasa nimeshindwa kumjibu mpenzi wangu sms yeyote nimekaa kmya nimjibu vp
Mm bila hiyana nikaanza kupiga sound nikajua hii midemu inayoendaga club hainaga maelezo mengi nikamwaga sera zangu full maneno ya kiutu uzima, Khee kilichonikuta baby wangu kanitumia hizo sms zote nilizokuwa nachart na huyo demu.
Mpka sasa nimeshindwa kumjibu mpenzi wangu sms yeyote nimekaa kmya nimjibu vp