muyatz
Member
- Jul 12, 2017
- 50
- 19
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,
Mpenzi wangu kaniambia nimuache kwanza, basi mimi nikamjibu “ok sawa”zimepita siku karibu tano saizi atujatafutana kwani hata namba yake nilifuta kwa ajili ya asila hila juzi usiku kanitumia sms ikisema? “usiku mwema” bila kusita nikafute ile SMS kwa sababu nilijua tu kuwa ni yeye kwa kuwa namba yake nakumbuka ilihishia 51.
Jamani wana JF nipeni ushauri nifanyeje bado nampenda sana uyo mwanamke.
Mpenzi wangu kaniambia nimuache kwanza, basi mimi nikamjibu “ok sawa”zimepita siku karibu tano saizi atujatafutana kwani hata namba yake nilifuta kwa ajili ya asila hila juzi usiku kanitumia sms ikisema? “usiku mwema” bila kusita nikafute ile SMS kwa sababu nilijua tu kuwa ni yeye kwa kuwa namba yake nakumbuka ilihishia 51.
Jamani wana JF nipeni ushauri nifanyeje bado nampenda sana uyo mwanamke.
alafu jipangie Siku muitw geto, Ule vyako.