Wewe unapenda nn sasa!?Hakuna kitu nisicho penda kama mizinga.
Inasikitisha sana...
Brother nlkuw npo tayar kumhudumia dogo kiukwel hata hyo 25000±26000 nlkuw nmtumie mwez ujao nkipata mshahara lakn sijui aljua siwez fany maamuz magum kisa nampenda?Tabia mbaya sana eti unamsachi mtu hadi mfukoni..huko ni kukosa maadili ..hivi sikuhizi kuna unyago kweli? Au ndo.hzo kitchen party mnafudishwa kumsachi mwanaume uki demand hela. Pengine mwanaume alikua tayar kumhudumia na tena mbona mwanzo alikua anafanya hivo imekuwaje sasa anamuona kama shopping mall ama benki..
Huyo akatafute mapedeshee tu.
Na pia mleta mada hatua ya kukimbia ni nzuri sana, kimbia na wala usigeuke nyuma.
Inasikitisha sana...
Kosa ulilifanya mwanzo, kumzoesha kumpa pesa mara kwa mara hata pale alipokuwa hana uhitaji na hiyo pesa... Siyo vibaya kumpa pesa, ila kumzoesha pesa ni tatizo...
Thank God mahondaw wangu have never do such a thing to me and she will never... she is a very understanding, beautiful young lady...
cc: mahondaw
Usjal brother, maadam Mungu anakupenda na amekuepusha na hilo janga, basi mshukuru tu halafu usonge mbele ukimuomba akupatie kutoka kwake mwanamke atakaekufaa. Japo naona unalalamikiwa kwamba ulikosea mwanzo kwa kumzoesha kumpa hela lakin naamin ulifanya kwa upendo tu lakini yeye sababu ya mapungufu ya akili yake aka take advantage. So maadam hamjaoana basi simamia maamuz yako ya kukaa nae mbali.Brother nlkuw npo tayar kumhudumia dogo kiukwel hata hyo 25000±26000 nlkuw nmtumie mwez ujao nkipata mshahara lakn sijui aljua siwez fany maamuz magum kisa nampenda?
Huwezi kusachiwa kama wewe husachiTabia mbaya sana eti unamsachi mtu hadi mfukoni..huko ni kukosa maadili ..hivi sikuhizi kuna unyago kweli? Au ndo.hzo kitchen party mnafudishwa kumsachi mwanaume uki demand hela. Pengine mwanaume alikua tayar kumhudumia na tena mbona mwanzo alikua anafanya hivo imekuwaje sasa anamuona kama shopping mall ama benki..
Huyo akatafute mapedeshee tu.
Na pia mleta mada hatua ya kukimbia ni nzuri sana, kimbia na wala usigeuke nyuma.
There is nothing u can say to justify hii Tabia mbovu, ni kukosa heshimaHuwezi kusachiwa kama wewe husachi