Sasa ungesema n ilo ktk thread yako.... Kuwa ulikua n reason ya ww kuanza kumpa ela, n co ulianza kumpa ela tu pacpokua n 7babu!Mkuu ungeulza na sabab ya kumpa pesa n nn huwa sitoagi pesa kizembe ujue anatatzo nmeliona kwake.
Muoe awe anijiibia!Nilimuacha home mpenz wangu tukiwa tumepeana ahadi za kuoana alikuwa hana tendency ya kuniomba pesa na mm huwa napenda mwanamke wa dizain hiyo kwani nilikuwa nampa pesa mara kwa mara bila hata ya yeye kuniomba ghafla nikaondoka kikazi na ndipo mawasiliano yalipo kuwa magum ndani ya miezi sita. Hasa saiv nmerud nkawa nmemtafut nkaona love limerud nkawa nmempatia sim yang maana hakuwa na sim tena
Chakushangaza baada ya kumpa sim mizinga ikaanza mara anaomba pesa ya viatu 25000 mara kunanguo anahitaj 26000 sijakaa sawa ananiambia kuwa kunanguo ameipenda 45000 ndipo nlpo shangaa mpenz wang hakuw hiv mbona kabadilika hv? chatting zenyewe nlzo kua nachat nae hazioneshi n kama mtu na mpenz wake yaan nlcho amua n kumuacha tu maana siku yakwanza ilkuw aliniulza hujaja na pesa? akaanza nisachi hadi mfukoni ndio kukuta 4000 na kadi ya benk na alvyo niulza tena mbona hauna pesa nkamwambia huwa sitembei napesa mara nying labda benk. Isitoshe ivo viatu na nguo nilimuahid kumnunulia alipo kuja na kipya kuwa kunanguo kaipenda 45000 ndipo nlpo shtuka.
Hapo nmefupisha tu na ndio yaliyo nikuta hayooooo.
huduma tunapena sote tena nyie ndio mnapata raha sana kuliko sisi,acheni ubinafsi,yako ina budget ila ya mwenzio haina budgetKaona umuhudumii wakati wewe unataka huduma,nyie viumbe wabinafsi sana..
Kaona umuhudumii wakati wewe unataka huduma,nyie viumbe wabinafsi sana..
MTU anakusachi mpaka mfukoni unamwangalia tu,mlishe Kofi kwanza,..
Mwanaume wa dar huyo,, hawezi hata kunyanyua kofi kumnasa mwanamke ingawa sio vizr pia... Ila ikibidi unamnasa hata la kimahaba lkn limuingie...!!
Umejuaje sisi tunapata raha zaidi?huduma tunapena sote tena nyie ndio mnapata raha sana kuliko sisi,acheni ubinafsi,yako ina budget ila ya mwenzio haina budget
Unamuacha tu hamna haja ya kumpga ila kinachofuata tu ni kufanya uamzi mgum tu bas ili aisome namba kama wimbo wa CCM mbele kwa mbele.
Mwanaume wa dar huyo,, hawezi hata kunyanyua kofi kumnasa mwanamke ingawa sio vizr pia... Ila ikibidi unamnasa hata la kimahaba lkn limuingie...!!
Labda kama ww ni papaa ndama mutu ya kongo ndo utafanya yote hayo.Guys mwanamke kutamani kitu ni nature yke na wala sio kosa,unaweza ukamnunulia gari asubuhi alafu jioni akasema anataka Bajaj ya kuendea sokoni ..Muhimu ni kuongea nae!! Sasa ww umeombwa elfu26 ya Shati alafu jioni anataka elf 45 then unalalamika?Unashindwaje kumwambia bby hz nguo zte ni nzuri sana but for now tuchukue moja then hii nyingine ntakununulia Mwiaho wa mwezi nikipokea salary!cunajua Jinsi nnavyopenda kukuona unapendeza...unampiga na kofi kidogo kwenye kalio♀️tuone kama atakusachi?vijana mnaangamia kwa kukosa maarifa..
Nilimjibu vzur tu nikamwambia mbona kwa sasa sina pesa mpenz wang? akanijibu kwahiyo? huyu alkuw anatikisa kiberiti unajua ndugu.Guys mwanamke kutamani kitu ni nature yke na wala sio kosa,unaweza ukamnunulia gari asubuhi alafu jioni akasema anataka Bajaj ya kuendea sokoni ..Muhimu ni kuongea nae!! Sasa ww umeombwa elfu26 ya Shati alafu jioni anataka elf 45 then unalalamika?Unashindwaje kumwambia bby hz nguo zte ni nzuri sana but for now tuchukue moja then hii nyingine ntakununulia Mwiaho wa mwezi nikipokea salary!cunajua Jinsi nnavyopenda kukuona unapendeza...unampiga na kofi kidogo kwenye kalio♀️tuone kama atakusachi?vijana mnaangamia kwa kukosa maarifa..