Sasa unamtaka aje kwako ili um-ManfongoLol..kusalimiana mpaka watu tuumwe...
Sasa unamtaka aje kwako ili um-ManfongoLol..kusalimiana mpaka watu tuumwe...
Na kwann utake kutembelewa wakati huu ambapo mpenzi wako hayupo?Doh...mkuu sijawah fikiria kufanya hcho kitu
Mi hata kama amenioa, mdogo angu wa kike kuja hom wakati sipo, hyo haipo.Kwa mwanaume ambae hajanioa sintopenda ukaribu wa hivyo na ndugu zangu. Amtembelee na mimi nikiwepo. Dunia imechafuka hamna wa kumwamini.
Atakuwa hakuamini,hata hivo haisaidii kwa vile kama ni mechi za ugenini siyo lazima upige na huyo mdogo wakeEti wadau hii imekaaje? Mpenzi wangu amenipiga katazo kwamba asisikie nimeuita mdogo wake kwangu kunitembelea.
Mimi nmemshangaa as huyo mdogo wake (WAKIKE) tangu aje mjini hajawahi nitembelea ata mara moja...sasa hii imekaa sawa kweli as ma mm nmemmisi shem wangu??
Nipe namba ya mdogo wake utakuwa unakuja kumtembelea kwangu...ukija uje na dada yake.Eti wadau hii imekaaje? Mpenzi wangu amenipiga katazo kwamba asisikie nimeuita mdogo wake kwangu kunitembelea.
Mimi nmemshangaa as huyo mdogo wake (WAKIKE) tangu aje mjini hajawahi nitembelea ata mara moja...sasa hii imekaa sawa kweli as ma mm nmemmisi shem wangu??
Hahahahahahahaha rubiiiAnakufahamu wewe ni chovya chovya! sasa anahofia na mdogo wake utamchovya