Kwa hiyo akiwa shem???Ni shem wangu...
Acha unafiki mkuu,kwa maisha ya sasa hivi hainaga tena ushemeji!......Mimi siyo mtoto mdogo i know what am talking about!!!Sioni ubaya kumtembelea shem wake...as hatuna uadui
Siyo kwamba hatujiamini mkuu.Ha haaaa..lol kweli wanawake hamjiamini
kuna siku utafikiria,believe me!Doh...mkuu sijawah fikiria kufanya hcho kitu
Huo ndiyo ukweli !!Siyo kwamba hatujiamini mkuu.
Abiria chunga mzigo wako.
Eti wadau hii imekaaje? Mpenzi wangu amenipiga katazo kwamba asisikie nimeuita mdogo wake kwangu kunitembelea.
Mimi nmemshangaa as huyo mdogo wake (WAKIKE) tangu aje mjini hajawahi nitembelea ata mara moja...sasa hii imekaa sawa kweli as ma mm nmemmisi shem wangu??
Na mm sijamuelewa
Kwa mwanaume ambae hajanioa sintopenda ukaribu wa hivyo na ndugu zangu. Amtembelee na mimi nikiwepo. Dunia imechafuka hamna wa kumwamini.Najarbu kufikiria point yako...kwahyo mashem kutembeleana ni utovu wa nidhamu