PARADIGM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2014
- 2,774
- 1,830
Anakufahamu wewe ni chovya chovya! sasa anahofia na mdogo wake utamchovya
Huoni kwamba hata mdogo wake ni shida kwa maana naye haaminiki?
Anakufahamu wewe ni chovya chovya! sasa anahofia na mdogo wake utamchovya
Huoni kwamba hata mdogo wake ni shida kwa maana naye haaminiki?
Eti wadau hii imekaaje? Mpenzi wangu amenipiga katazo kwamba asisikie nimeuita mdogo wake kwangu kunitembelea.
Mimi nmemshangaa as huyo mdogo wake (WAKIKE) tangu aje mjini hajawahi nitembelea ata mara moja...sasa hii imekaa sawa kweli as ma mm nmemmisi shem wangu??
doh...kumbe ndo anavyomaanisha...bt mm sikuwa na lengo baya as dadamtu amesafr so nikataka nimwite shem as amekuja town kufuatilia mambo yakeSioni kosa hapo na hivi ni wapenzi hushindwi kuwagonganaisha.
Halafu huyo mdogo wake kwako anakuja kufanya nini?Anatakiwa akija aje na dadake au dadake ndo amlete sio ajitoe huko ajilete sio adabu
Halafu unaoneka hujatulia yaani hupitwi hivo
anaogopa usijepita na mdogo wake ukawachanganya.