Mpenzi wangu haoneshi kumpenda Mtoto wangu

Nmebahatika kuwa na mtoto na mwanamke niliyekua naye awali lakini hatukuweza kuendelea na mahusiano yale. Mtoto anasoma madarasa ya chini na nmemchukua kukaa naye na kwa sasa nina mwanamke tuna mwaka mmoja pamoja na ambaye tuna matarajio ya kusogea hatua za mbali ikiwemo kufunga ndoa.

Changamoto ninayoipata kwa sasa ni kwamba mpenzi wangu anaonekana kutompenda mtoto, na vitu vingi anafanya kuniridhisha mimi. Anavyoongea naye, anavyomtuma, vitu anavyomwambia afanye ilhali mtoto ana miaka 8 tu vinaniacha njia panda kwamba huyu ni mwanamke sahihi ambaye atamlea mtoto huyu ili apate makuzi mazuri na asi feel ananyanyaswa.

Nahitaji kufanya maamuzi mapema na ikibidi hata kusitisha mahusiano na mwanamke huyu ili mtoto asipate shida mbeleni. Naombeni ushauri kwa wadau mliopitia situation kama hii au kwa mtu mwenye insights/ushauri.
Ningekua nauwezo nisinge penda mimi hawa wanawake wamekua wakitaka maslai yao tu,, kaka huyo sio mwanamke anaweza kuja kuua hata mtoto wako

Maamuzi magumu saingne ni mazuri mchane ukweli ukiona aeleweki achana nae
 
Na kwann mnakua na mambo ya Ajabu ??

Watoto ni malaika, watoto ni viumbe wa Mungu wenye uhakika wa kuiona Mbingu.

MTU asopenda mtoto, huyo sijui nimuwekee kwenye kundi gani !!!!!!!..



Inshu ni kama unaoana na MTU alafu bado unaendeleaje kuthibitisha kua "Walozaa, hawaachani".


Na hiii ujinga, ni wenu wanawake wa miaka hii ya 1987++++ ndio mnaojifanya kua Ukishazaa na MTU, hata ukioelewa, lazima uendelee kuliwa na Mzazi mwenzako.



Mbona Wamama wa zamani, wameolewa Mara mbili mbili, na hatukuwahi kusikia Hadithi zao, kama zilivyosasa ????.
Si kweli,lakin mmeamini ivo
 
Kabla hujafanya uamuzi wowote au kufata ushauri wowote hapa Jf naona bora kwanza ukae na mtoto wako. Muulize maswali kama anampenda huyo mwenza wako anaonaje kama utamuowa atafurahi au laa. Pia muulize kama ameshawahi kukerwa na kufanyishwa kitu hakukipenda na huyo mwenza wako. Mtoto kutumwa na mkubwa wake ni jambo la kawaida pia miaka 8 kiswahili anatakiwa ajifunze mambo ya mapishi kidogo dogo kwahio kutumwa sio kudhalilisha bali kumtuma nje ya uwezo wake hio ni udhalilishaji. Narudia tena kaa na mtoto wako muulize juu ya mwenza wako hakika jibu na uamuzi utaupata bila ya ushauri wa hapa.



Lunatic
 
Ninakushauri kupitia hiki kisa changu...


Miaka fulani , niliwah Date mwanamke mmoja ,Binti tu na uzuri wake.
Yule demu, siku moja,ilikua Jpl. Akaja geto bila taarifa.
Sasa Mimi huwa sipendi kukaa ndani Mwenyewe, Mara nyingi ninaita Watoto wa majirani tunapikaa, tunakulaa, tunaangalia Movies n.k


Sasa yule Manzi , alivyoingia tu Sebuleni Akajichanganya " hivi weee mpuuzi unaiingiza ingiza ndani hivi vipanya vyakooo vinakaaa ovyooovyo , tokeni tokeni panya nyinyi "!
Daahhh aiseee Nilipandwa Hasiraaa. Nilitaka nimchape makofi mazito..


Nikaona huyu nitamuumiza, Basi.. Nikamshika mkono. Nikamtoa nje. Nikamwambia rudi rudi kwako ,!!!
Hakuaminigi kama ndio ulikua Mwisho Wetu !!!.


SIKILIZA..KIASILI MWANAMKE KAUMBIWA HURUMA, UKIONA HANA HURUMA, HUYO ANA ROHO MBAYA, NI MBINAFSI, HAFAI, NA ANAYAFUTA FAIDA YAKE MWENYEWE.
HUYO UKIMZALISHA TU., MTOTO WAKO MKUBWA ATAGEUKA KUA KIJAKAZI.


SASA UFANYE NINI???.

Wewe sio Mimi, Na sijui kina chako cha mapenzi kwake kikoje !!

Hivo, Kaa na huyo Mwanamke, mchane wazi wazi, Bwanaaaeeeh Mimi ndio Baba ,Mtoaji wakila kitu kwenye huu mji, bila shaka wakati nakutongoza ,nilikuambia Nina mtoto, huyu mtoto ni wangu NA LAZIMA umjali kama mtoto wako,.. Mambo unayomtendea huyu Mwanangu ninayaona Mwenyewe kwa macho yangu ,sio kwamba nasimuliwa .


SASA NAKUHITAJI UBADILIKE , KWA MANUFAA CHANYA YA MAHUSIANO YETU.




Asipobadilika, Unaachana naye !!!.
UWABATA tupo mbioni kukujengea sanamu
 
Ninakushauri kupitia hiki kisa changu...


Miaka fulani , niliwah Date mwanamke mmoja ,Binti tu na uzuri wake.
Yule demu, siku moja,ilikua Jpl. Akaja geto bila taarifa.
Sasa Mimi huwa sipendi kukaa ndani Mwenyewe, Mara nyingi ninaita Watoto wa majirani tunapikaa, tunakulaa, tunaangalia Movies n.k


Sasa yule Manzi , alivyoingia tu Sebuleni Akajichanganya " hivi weee mpuuzi unaiingiza ingiza ndani hivi vipanya vyakooo vinakaaa ovyooovyo , tokeni tokeni panya nyinyi "!
Daahhh aiseee Nilipandwa Hasiraaa. Nilitaka nimchape makofi mazito..


Nikaona huyu nitamuumiza, Basi.. Nikamshika mkono. Nikamtoa nje. Nikamwambia rudi rudi kwako ,!!!
Hakuaminigi kama ndio ulikua Mwisho Wetu !!!.


SIKILIZA..KIASILI MWANAMKE KAUMBIWA HURUMA, UKIONA HANA HURUMA, HUYO ANA ROHO MBAYA, NI MBINAFSI, HAFAI, NA ANAYAFUTA FAIDA YAKE MWENYEWE.
HUYO UKIMZALISHA TU., MTOTO WAKO MKUBWA ATAGEUKA KUA KIJAKAZI.


SASA UFANYE NINI???.

Wewe sio Mimi, Na sijui kina chako cha mapenzi kwake kikoje !!

Hivo, Kaa na huyo Mwanamke, mchane wazi wazi, Bwanaaaeeeh Mimi ndio Baba ,Mtoaji wakila kitu kwenye huu mji, bila shaka wakati nakutongoza ,nilikuambia Nina mtoto, huyu mtoto ni wangu NA LAZIMA umjali kama mtoto wako,.. Mambo unayomtendea huyu Mwanangu ninayaona Mwenyewe kwa macho yangu ,sio kwamba nasimuliwa .


SASA NAKUHITAJI UBADILIKE , KWA MANUFAA CHANYA YA MAHUSIANO YETU.




Asipobadilika, Unaachana naye !!!.
Well said
 
Nmebahatika kuwa na mtoto na mwanamke niliyekua naye awali lakini hatukuweza kuendelea na mahusiano yale. Mtoto anasoma madarasa ya chini na nmemchukua kukaa naye na kwa sasa nina mwanamke tuna mwaka mmoja pamoja na ambaye tuna matarajio ya kusogea hatua za mbali ikiwemo kufunga ndoa.

Changamoto ninayoipata kwa sasa ni kwamba mpenzi wangu anaonekana kutompenda mtoto, na vitu vingi anafanya kuniridhisha mimi. Anavyoongea naye, anavyomtuma, vitu anavyomwambia afanye ilhali mtoto ana miaka 8 tu vinaniacha njia panda kwamba huyu ni mwanamke sahihi ambaye atamlea mtoto huyu ili apate makuzi mazuri na asi feel ananyanyaswa.

Nahitaji kufanya maamuzi mapema na ikibidi hata kusitisha mahusiano na mwanamke huyu ili mtoto asipate shida mbeleni. Naombeni ushauri kwa wadau mliopitia situation kama hii au kwa mtu mwenye insights/ushauri.

Mbona amekurahisishia sana maamuzi sana kwamba yuko alivyo

Achana kujistress nenda kamchukue mama wa mtoto wako endeleeni na maisha.

Mtoto apate malezi bora ya baba na mama yake
 
Zidisha mapambano ya kutafuta pesa na ukishakuwa nazo nyingi atampenda tu mkuu.
 
Nmebahatika kuwa na mtoto na mwanamke niliyekua naye awali lakini hatukuweza kuendelea na mahusiano yale. Mtoto anasoma madarasa ya chini na nmemchukua kukaa naye na kwa sasa nina mwanamke tuna mwaka mmoja pamoja na ambaye tuna matarajio ya kusogea hatua za mbali ikiwemo kufunga ndoa.

Changamoto ninayoipata kwa sasa ni kwamba mpenzi wangu anaonekana kutompenda mtoto, na vitu vingi anafanya kuniridhisha mimi. Anavyoongea naye, anavyomtuma, vitu anavyomwambia afanye ilhali mtoto ana miaka 8 tu vinaniacha njia panda kwamba huyu ni mwanamke sahihi ambaye atamlea mtoto huyu ili apate makuzi mazuri na asi feel ananyanyaswa.

Nahitaji kufanya maamuzi mapema na ikibidi hata kusitisha mahusiano na mwanamke huyu ili mtoto asipate shida mbeleni. Naombeni ushauri kwa wadau mliopitia situation kama hii au kwa mtu mwenye insights/ushauri.
Huyo sio mke,anasubiria tu ndoa huyo mtoto atapewa kisago cha paka mwizi
 
Nimebahatika kuwa na mtoto na mwanamke niliyekua naye awali lakini hatukuweza kuendelea na mahusiano yale. Mtoto anasoma madarasa ya chini na nmemchukua kukaa naye na kwa sasa nina mwanamke tuna mwaka mmoja pamoja na ambaye tuna matarajio ya kusogea hatua za mbali ikiwemo kufunga ndoa.

Changamoto ninayoipata kwa sasa ni kwamba mpenzi wangu anaonekana kutompenda mtoto, na vitu vingi anafanya kuniridhisha mimi. Anavyoongea naye, anavyomtuma, vitu anavyomwambia afanye ilhali mtoto ana miaka 8 tu vinaniacha njia panda kwamba huyu ni mwanamke sahihi ambaye atamlea mtoto huyu ili apate makuzi mazuri na asi feel ananyanyaswa.

Nahitaji kufanya maamuzi mapema na ikibidi hata kusitisha mahusiano na mwanamke huyu ili mtoto asipate shida mbeleni. Naombeni ushauri kwa wadau mliopitia situation kama hii au kwa mtu mwenye insights/ushauri.
Marioo unaonyesha Huna pesa
 
Mwanamke pekee atakayemlea mtoto kwa mapenzi mema ni mama yake tu

Wanaume sijui mmelogwa hamuelewagi hili
 
Kuna wanawake wana roho nzuri tu na wanaweza kukaa na mtoto wa kambo.Huyo mwanamke ana roho mbaya naturally na ikiwa mtoto wako ataishi maisha ya kuteseka duniani usidhani Mungu atakuacha katika hilo be wise!
 
Back
Top Bottom