noldCM
Member
- Aug 12, 2021
- 19
- 13
Ningekua nauwezo nisinge penda mimi hawa wanawake wamekua wakitaka maslai yao tu,, kaka huyo sio mwanamke anaweza kuja kuua hata mtoto wakoNmebahatika kuwa na mtoto na mwanamke niliyekua naye awali lakini hatukuweza kuendelea na mahusiano yale. Mtoto anasoma madarasa ya chini na nmemchukua kukaa naye na kwa sasa nina mwanamke tuna mwaka mmoja pamoja na ambaye tuna matarajio ya kusogea hatua za mbali ikiwemo kufunga ndoa.
Changamoto ninayoipata kwa sasa ni kwamba mpenzi wangu anaonekana kutompenda mtoto, na vitu vingi anafanya kuniridhisha mimi. Anavyoongea naye, anavyomtuma, vitu anavyomwambia afanye ilhali mtoto ana miaka 8 tu vinaniacha njia panda kwamba huyu ni mwanamke sahihi ambaye atamlea mtoto huyu ili apate makuzi mazuri na asi feel ananyanyaswa.
Nahitaji kufanya maamuzi mapema na ikibidi hata kusitisha mahusiano na mwanamke huyu ili mtoto asipate shida mbeleni. Naombeni ushauri kwa wadau mliopitia situation kama hii au kwa mtu mwenye insights/ushauri.
Maamuzi magumu saingne ni mazuri mchane ukweli ukiona aeleweki achana nae