Muulize yeye ndiye anajua tatizoKila siku ninawaambia Dar siyo sehemu salama kwa wanaume mnabisha!!....ona sasa!!.......Kuna siku mwanaume fulani wa Dar alileta uzi hapa kuwa anasumbuliwa na matatizo ya nguvu za kiume nikashauri ahame Dar cha kushangaza nilishambuliwa sana!!
You forgot something dear.kila kitu ni ratiba......Nimetoka vidudu hadi hapa sjawahi ambiwa hivyo....
Binadamu tumeumbiwa hisia...wataka nipeleke wapi hisia zangu.... ?
Kama huo ndio mchango wako basi asanteh kwa muda wako
Hapana nipo 20's siyo exact 20 years sijui kama umeelewa
Kaka kunatofauti kati ya urembo, uzuri na utamu wa kufanya mapenzi.....Kama huyu ndiyo wewe kweli hakutendei haki unapashwa kupigwa show ya Masaa mawili au matatu Aisee
wa kwako yeye anaishia dakika ngapi mpendwaHeko kwa wanaume wote wanaopanda juu ya kifua dk 60 bila kukohoa wala kuomba Samahani za simu
Joto labda linachangiq tuliopo mikoani tunafaidi kweli kweli Fanya tu uhamir mikoani
Madada mwenyewe amesema kabla hawjahamia huko Dar Jamaa alikuwa anafukunyua tundu mapa goli sita hadi masaa kumi sasa kwa hiyo toka mwanzo inawezekana alikuwa mtamu tuuuKaka kunatofauti kati ya urembo, uzuri na utamu wa kufanya mapenzi.....
Demu anaweza akawa mzur lakin asivuutie kimapenzi utamu hakuna....demu linaweza kuwa likurunyembe lakini litamu balaaa
Kama ndo hvo hajiandae kuwa malaya tuKaka kunatofauti kati ya urembo, uzuri na utamu wa kufanya mapenzi.....
Demu anaweza akawa mzur lakin asivuutie kimapenzi utamu hakuna....demu linaweza kuwa likurunyembe lakini litamu balaaa
Habari za weekend wakuu?
Tumaini langu muwazima wote kwa wagonjwa ugua pole,
Nimekuwa msomaji wa nyuzi mbalimbali hapa JF hususani MMU nimeona wengi wakipata ushauri makini ingawa wengi hutoa kejeri badala ya ushauri. Yes. Sihitaji kuwachosha wacha niende moja kwa moja kwenye mada.
Mimi ni 20's years niko na rafiki wa kiume miaka 7 minimum ndio yawe mapenzi ya kuanzia secondary form one B.
Kwa sasa niko chuo fulani (jina kapuni)hapa Dar niko na chumba changu binafsi yaani nimepanga. Pia na yeye yupo chuo kingine( jina kapuni )lakini yeye yupo hostel za chuo na sasa toka tumefika hapa Dar kwa masomo amekuwa akinitembelea kila weekend anakuja tunashinda wote hapa nyumbani kwangu.
Basi tukiyaacha hayo dhamira kubwa ya huu uzi ni kupata maoni yenu kwamba
huyu boyfriend amekuwa hanipi huduma ipasavyo kwenye.
01.MAPENZI
Hili ndio kubwa zaidi yaani kabadilika kweli imekuwa hawezi kurudia tendo, yaani anakuwa na hamu kweli kama hatujakutana sasa sku tukikutana anaishia bao moja tu hawezi kabisa kudinda tena ananiacha na hamu kibao.
Huyu bwana hakuwa hivi kipindi tunaanza mahusiano yetu yaani alikuwa akipanda kifua huyo hashuki zaidi ya dakika 60. Tumejaribu kutafuta shuluhu lakini zimegonga mwamba, mara pweza wapi.Naamini wale watu wazima wameelewa hapa.
02.MATUMIZI.
Amekuwa bahili kweli yaani anakuja weekend anashinda kwangu akiondoka haniachi hata pesa ya matumizi binafsi zaidi ya zawadi anazoniletea wakati uhusiano wetu haukua hivyo hapo mwanzo.