Dah hamna raha ya kusex, joto linalegeza sana mwili na mishipa ya ub.Heko kwa wanaume wote wanaopanda juu ya kifua dk 60 bila kukohoa wala kuomba Samahani za simu
Joto labda linachangiq tuliopo mikoani tunafaidi kweli kweli Fanya tu uhamir mikoani
Sio wote banaHeko kwa wanaume wote wanaopanda juu ya kifua dk 60 bila kukohoa wala kuomba Samahani za simu
Joto labda linachangiq tuliopo mikoani tunafaidi kweli kweli Fanya tu uhamir mikoani
Ikurudie na wewe Mkuu.Salute mkuu.
hahaaa wanawake bhana ..sasa cjui anataka mwenzie akaibe...wakati anajua kuwa mwenzie hana kaziHii imenishangaza
wote mnasoma chuo (wanafunzi) ila wewe ulalamika upewi hela ya matumizi na uyò mpenzi wako (mwanaume wa mkoani)
Hii ndo Dar karibuni
hahaaaaaUMEANZA NGONO UKIWA NA MIAKA 13..... KIKUBWA AMESHAKUCHOKA AMEKUTANA NA WALE WANATEMBEA BILA CHUPI YAANI VIUNGO VYAO VIPO WAZI KWA HIYO MPAKA AKIFIKA KWAKO AMESHAKOJOA NJIANI KWENYE BOXER ZAIDI YA MARA NYINGI DAR IONE HIVYO HIVYO YAANI WATOTO WA KIKE WANAKUWA UCHI MUDA MWINGI SASA KWA MTOKA MKOANI AMBAYE HAJAWAHI KUONA HATA UPAJA WA DEMU UNADHANI SI ATAKUWA ANASEX KILA MUDA
Show huez, haya basi toa hela napo mbahili bora basi ungekuwa handsome napo hamna kitu heeee! Usaidiweje sasa?Habari za weekend wakuu?
Tumaini langu muwazima wote kwa wagonjwa ugua pole,
Nimekuwa msomaji wa nyuzi mbalimbali hapa JF hususani MMU nimeona wengi wakipata ushauri makini ingawa wengi hutoa kejeri badala ya ushauri. Yes. Sihitaji kuwachosha wacha niende moja kwa moja kwenye mada.
Mimi ni 20's years niko na rafiki wa kiume miaka 7 minimum ndio yawe mapenzi ya kuanzia secondary form one B.
Kwa sasa niko chuo fulani (jina kapuni)hapa Dar niko na chumba changu binafsi yaani nimepanga. Pia na yeye yupo chuo kingine( jina kapuni )lakini yeye yupo hostel za chuo na sasa toka tumefika hapa Dar kwa masomo amekuwa akinitembelea kila weekend anakuja tunashinda wote hapa nyumbani kwangu.
Basi tukiyaacha hayo dhamira kubwa ya huu uzi ni kupata maoni yenu kwamba
huyu boyfriend amekuwa hanipi huduma ipasavyo kwenye.
01.MAPENZI
Hili ndio kubwa zaidi yaani kabadilika kweli imekuwa hawezi kurudia tendo, yaani anakuwa na hamu kweli kama hatujakutana sasa sku tukikutana anaishia bao moja tu hawezi kabisa kudinda tena ananiacha na hamu kibao.
Huyu bwana hakuwa hivi kipindi tunaanza mahusiano yetu yaani alikuwa akipanda kifua huyo hashuki zaidi ya dakika 60. Tumejaribu kutafuta shuluhu lakini zimegonga mwamba, mara pweza wapi.Naamini wale watu wazima wameelewa hapa.
02.MATUMIZI.
Amekuwa bahili kweli yaani anakuja weekend anashinda kwangu akiondoka haniachi hata pesa ya matumizi binafsi zaidi ya zawadi anazoniletea wakati uhusiano wetu haukua hivyo hapo mwanzo.
Well saidDuuuhhh . Mama ,,kwaiyo shida ni Mapenzi yaan Mashine .
Na matumizi ........
Unajua ulipokua sekondar matumizi yako yalikua madogo ,, saizi upo chuo naumepanga Matumizi yako nimakubwa alafu mwenzako ndo kwanza mwaka wa kwanza naunaona anakaa hostel ,, Maisha ya Dar kwa mwanafunzi km huna mahali unapowezeshwa LAZIMA yawe mzigo kwako ,, sasa sembuse uwe namtu ?????.
Nanisababu ya kukosekana kwa pesa , mawazo kwa ndugu yetu yamekua mengi ,, +kitabu+ kutaka kuonjamo karadha kapya Ka chuo , obviously hamu naww lazima ipungue ...en since sexy begin from mind hamna kitu tena hapo.
Muhimu ,nikuongea naye jamaa kinaga ubaga ,, Mpe muda ,, mfanye ajihisi comfortable ,, utafurahia km awali,, lkn kwenye Pesa vyuma vimekaza mama ,mvumilie ,anachopata kipokeee nauseme asante.