mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,853
Nimemchunguza kama anamchepuko nimejilizisha hana, nimeenda kwa docta kasema njia za uzazi wa mpango zina changia mwanamke kutojisikia kufanya tendo.
Nimeenda kwa mganga wa jadi kaniambia ana jini mahaba linamtumia kanipa hadi dalili za mtu mwenye jini mahaba kama nataka kuamini ni za kweli pasina shaka mganga kasema inabidi atolewe, nimerudi home kumuuliza wife kwanini hajisikii kufanya tendo kajibu anajikuta tu hana hisia, na leo nimekuja JamiiForums nisome mchango wenu na mbinu zenu ili nichukue hatua moja wapo, kuacha kutumia njia za uzazi wa mpango, au kwenda kwa tawile akamtoe jinni mahaba, au kumfukuza arudi kwao nioe mwingine.
Hay leteni mbinu mwamba nitoe maamuzi.
Nimeenda kwa mganga wa jadi kaniambia ana jini mahaba linamtumia kanipa hadi dalili za mtu mwenye jini mahaba kama nataka kuamini ni za kweli pasina shaka mganga kasema inabidi atolewe, nimerudi home kumuuliza wife kwanini hajisikii kufanya tendo kajibu anajikuta tu hana hisia, na leo nimekuja JamiiForums nisome mchango wenu na mbinu zenu ili nichukue hatua moja wapo, kuacha kutumia njia za uzazi wa mpango, au kwenda kwa tawile akamtoe jinni mahaba, au kumfukuza arudi kwao nioe mwingine.
Hay leteni mbinu mwamba nitoe maamuzi.