mangi mwarabu
New Member
- Apr 5, 2017
- 1
- 1
Kama hakuamini sasa mfanyie kweli njoo kwangu
Sio mimi mkuu..Sijakuelewa mkuu
Edit hio sehem ya dini..Yaishe..![]()
AiseeeeEdit hio sehem ya dini..
Nachukia watu wafanye machafu kwa mgongo wa dini,,mnatudhalilisha sisi wachache tunaojistiri na kujiweka mbali na maasi...
Uzuri wako uhifadhi kwa ajili ya mumeo.
Kuna ile hali badhi ya wasichana wanapenda kucheka zaidi ya inavyo stahili. Ama unakuwa na pimples au anxiety. Nilisha wahi kwenda kwa dactari akasema mpaka umri fulani itaisha.. Zaidi dawa za hormonal balance zinakausha sana ngozi wanatumiaga sience freaks. Pia ni ghali tz.Sio yaishe fafanua ulichokiandika
Kwa kweliEdit hio sehem ya dini..
Nachukia watu wafanye machafu kwa mgongo wa dini,,mnatudhalilisha sisi wachache tunaojistiri na kujiweka mbali na maasi...
Uzuri wako uhifadhi kwa ajili ya mumeo.
HahahahaNapenda kumtania Bashite..![]()
![]()
Story yako nimeipenda mana inaonekana uu mgen Wa mapenz mana mwanaume yeyote utakayekidh viwango vyake na ukawa vizur kitandani ataitaji kukusifia na kuona labda kuna mwingine anapata vitu unavyompa, kuhusu kukkubana huo ni wivu kwa wanaume kwa MTU anayempenda au yawezekana hakuppend kakutaman tuu na asingependa kushare penz na mwingine, pia swala lakuzunhumzia din kama silaha kwa mpenz wako et umeshika din liondoe halina mantink hapo tabia ya MTU ni individual, wangap wanavaa mabaibui waislamu safi ila ni wahuni balaa, au wangap wakristu walokole Giza likingia wanafanya mambo ya ajabu, mwanaume anayejitambua hawez kimwamin mwanamke kisa kashika din ila nikufuatilia tabia yako,kama anakupenda kweli safar njema, kama anakupa maneno mazur aendelee kukutumia itakua poleHi guys,
Rafiki yangu anafikiri siwezi kuwa na yeye tuu. Hasa ninapofanya vizuri kwenye 6*6
amenifanya nikapime. Ana truck muda wangu. Huwa anasaema 'Oh my God..such a beatifull girl like you. It cant be...'Ata nimemuonesha mimi ni wadini.. Haelewi..
Sijui nifanyaje..![]()
"Ata nimemuonesha Mimi ni wadini"
Maana ya wadini ni kwamba una dini au ni neno la kiswahili silijui.
But mwenye dini hazini!!,

Hahq ha ha acha wivumpige chini ana wivu wa kijinga