Mpenzi wangu anikacha, aolewa na mzee

Mpenzi wangu anikacha, aolewa na mzee

Acha waje kwetu kwakuwa sisi twajali sana, hao vijana wenu chips yai hawawezi hata kufungua chupa ya maji ya kilimanjaro au wavivu hata kukwangua vocha ya simu.
Miaka minne yote niliyokuwa naye tangu chuo hayo yote hayakuepo au chips ndio zmekuja kipindi hiki
 
Habari wakuu

Hakika napitia katika wakati mgumu kwa sasa, nimekuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanamke niliyekutana naye chuo tangu mwaka wa kwanza hadi tukamaliza chuo huku mapenzi yakiwa hot na kuaidiana ndoa baina yetu

Kwa sasa mambo yamekuwa tofauti, hali si hali kwa upande wangu

Mbaba mtu mzima na makunyanzi ya uzee kanipiga bao kwa huyu kimwana wangu niliyependana naye saana, sijui nini kakikosa kwangu mpaka kuolewa na mzee angalau angechukuliwa hata na kijana mwenzangu ningemtakia kila la kheri huko alikokimbilia, lakini kwa sasa kwa huyo mzee hakika atanimis tu

Au kusugua bench tukisubiri ajira za awamu ya tano ndio sababu pesa hakuna tunachelewa kuoa mpaka wazee wanatuchukua vitu zetu muhimu


Kiukweli madem zetu mpunguze tamaa, sie vijana ni waoaji wa kweli na wenye mapenzi.
Tuvumilieni kipindi hiki cha mpito vyuma vimekaza lakini penzi tunawapa.
Hii ndo ktu ambayo inananifanya niwe na malengo ya kuoa lakn sijaandaa wa kumuoa mpaka ntakapo kuwa tayari ndo natafuta
 
Miaka minne yote niliyokuwa naye tangu chuo hayo yote hayakuepo au chips ndio zmekuja kipindi hiki
Kwahiyo we ulitaka umchezee tuuuu, wakati hata hela ya pedi humpi? mwenzio nae anatamani kwenda vakasheni Dubai na Uturuki wewe hata Bagamoyo hujawahi mpeleka.
 
huna shoo za kibabe nini mdau ndio maana umekimbiwa
 
Habari wakuu

Hakika napitia katika wakati mgumu kwa sasa, nimekuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanamke niliyekutana naye chuo tangu mwaka wa kwanza hadi tukamaliza chuo huku mapenzi yakiwa hot na kuaidiana ndoa baina yetu

Kwa sasa mambo yamekuwa tofauti, hali si hali kwa upande wangu

Mbaba mtu mzima na makunyanzi ya uzee kanipiga bao kwa huyu kimwana wangu niliyependana naye saana, sijui nini kakikosa kwangu mpaka kuolewa na mzee angalau angechukuliwa hata na kijana mwenzangu ningemtakia kila la kheri huko alikokimbilia, lakini kwa sasa kwa huyo mzee hakika atanimis tu

Au kusugua bench tukisubiri ajira za awamu ya tano ndio sababu pesa hakuna tunachelewa kuoa mpaka wazee wanatuchukua vitu zetu muhimu


Kiukweli madem zetu mpunguze tamaa, sie vijana ni waoaji wa kweli na wenye mapenzi.
Tuvumilieni kipindi hiki cha mpito vyuma vimekaza lakini penzi tunawapa.
Mabeni Teni tunaonewa na wazee wa pesheni
 
Kwa mfano.
1. Una kibamia
2. Pesa huna
3: hujui kubembeleza
4: bahili kama nn
5: hamthamini na kumjari mwanamke.

Hivi kwa haya yotee akupende nani??? Wacha wazee wale vyao.nyie kamaeni na ubahili wenu.
 
Acha kulalamika mkuu, babu atahamishia dudu kwenye kidevu, oohooo! We haya
 
Karibu kiumeni. Now be a man.. tumia hayo maumivu kama chachu ya kutafuta mafanikio.
 
Kachoka na tamthiliya ya the long wait ..maan MNA miaka mingi ya mahusiano na kumuoa had upate kuajiriwa...what if uspopata kuajiriwa atangoja had uzeen?!...muache tuu aende huenda hakua fungu lako
 
Habari wakuu

Hakika napitia katika wakati mgumu kwa sasa, nimekuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanamke niliyekutana naye chuo tangu mwaka wa kwanza hadi tukamaliza chuo huku mapenzi yakiwa hot na kuaidiana ndoa baina yetu

Kwa sasa mambo yamekuwa tofauti, hali si hali kwa upande wangu

Mbaba mtu mzima na makunyanzi ya uzee kanipiga bao kwa huyu kimwana wangu niliyependana naye saana, sijui nini kakikosa kwangu mpaka kuolewa na mzee angalau angechukuliwa hata na kijana mwenzangu ningemtakia kila la kheri huko alikokimbilia, lakini kwa sasa kwa huyo mzee hakika atanimis tu

Au kusugua bench tukisubiri ajira za awamu ya tano ndio sababu pesa hakuna tunachelewa kuoa mpaka wazee wanatuchukua vitu zetu muhimu


Kiukweli madem zetu mpunguze tamaa, sie vijana ni waoaji wa kweli na wenye mapenzi.
Tuvumilieni kipindi hiki cha mpito vyuma vimekaza lakini penzi tunawapa.
Mkuu pole sana ila unajua kuna wanawake wengine wanajitambua,huyo mdada kama kukusubiria amekusubiri sanaaaaa,ivi tangu chuo uko nae ulishindwa hata kumvalisha pete ya uchumba? ulikua una dhani yupo tuuu na unataka akustahmilie mpaka lini dalili ipi ulomuonyesha kua nataka uwe mke wangu?
muache akastiriwe,huyo unaemuona mbaba ameweza kufanya maamuzi wewe kijana umeshindwa,nini amekosa kwako?
ivi ulisha wahi kumuliza nini nikufanyie ufurahi zaidi au ulifikiria kua umemkoleza kapagawa?
mkuu muombe kheir awe na ndoa ya kheir na wazee ndio wanajua ku enziii wanajua nini mpenzi wake anataka kusikia na wakati gani utajua haya na wewe ukiwa mzee, kila la kheir inshallah mwenyezi mungu atakupa mwenye kheir na weye..
 
Mkuu kama ulikuwa hupekechi vizuri sahau maana hataona tofauti na huyo mtu mzima.

Kama ulikuwa fresh atarudi tu akimiss japo utakuwa si mmiliki.
 
Habari wakuu,

Hakika napitia katika wakati mgumu kwa sasa, nimekuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanamke niliyekutana naye chuo tangu mwaka wa kwanza hadi tukamaliza chuo huku mapenzi yakiwa hot na kuaidiana ndoa baina yet.

Kwa sasa mambo yamekuwa tofauti, hali si hali kwa upande wangu.

Mbaba mtu mzima na makunyanzi ya uzee kanipiga bao kwa huyu kimwana wangu niliyependana naye sana, sijui nini kakikosa kwangu mpaka kuolewa na mzee angalau angechukuliwa hata na kijana mwenzangu ningemtakia kila la kheri huko alikokimbilia, lakini kwa sasa kwa huyo mzee hakika atanimiss tu.

Au kusugua bench tukisubiri ajira za awamu ya tano ndio sababu pesa hakuna tunachelewa kuoa mpaka wazee wanatuchukua vitu zetu muhimu.


Kiukweli wasichana wetu mpunguze tamaa, sie vijana ni waoaji wa kweli na wenye mapenzi.Tuvumilieni kipindi hiki cha mpito vyuma vimekaza lakini penzi tunawapa.

Pole, kinachosikitisha ni kwamba atakuja kurudi na haitawezekana
 
Mkuu pole sana ila unajua kuna wanawake wengine wanajitambua,huyo mdada kama kukusubiria amekusubiri sanaaaaa,ivi tangu chuo uko nae ulishindwa hata kumvalisha pete ya uchumba? ulikua una dhani yupo tuuu na unataka akustahmilie mpaka lini dalili ipi ulomuonyesha kua nataka uwe mke wangu?
muache akastiriwe,huyo unaemuona mbaba ameweza kufanya maamuzi wewe kijana umeshindwa,nini amekosa kwako?
ivi ulisha wahi kumuliza nini nikufanyie ufurahi zaidi au ulifikiria kua umemkoleza kapagawa?
mkuu muombe kheir awe na ndoa ya kheir na wazee ndio wanajua ku enziii wanajua nini mpenzi wake anataka kusikia na wakati gani utajua haya na wewe ukiwa mzee, kila la kheir inshallah mwenyezi mungu atakupa mwenye kheir na weye..
Umetoa ukweli mtupu mkuu

Ila tulikuwa tumependana, kuaminiana na kuvumiliana sana pia tuliahidiana mambo mengi ikiwemo ndoa,
Nimekubali ndio hivyo natafuta mwingine naamini nitapata tu
 
Back
Top Bottom