Habari wakuu,
Hakika napitia katika wakati mgumu kwa sasa, nimekuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanamke niliyekutana naye chuo tangu mwaka wa kwanza hadi tukamaliza chuo huku mapenzi yakiwa hot na kuaidiana ndoa baina yet.
Kwa sasa mambo yamekuwa tofauti, hali si hali kwa upande wangu.
Mbaba mtu mzima na makunyanzi ya uzee kanipiga bao kwa huyu kimwana wangu niliyependana naye sana, sijui nini kakikosa kwangu mpaka kuolewa na mzee angalau angechukuliwa hata na kijana mwenzangu ningemtakia kila la kheri huko alikokimbilia, lakini kwa sasa kwa huyo mzee hakika atanimiss tu.
Au kusugua bench tukisubiri ajira za awamu ya tano ndio sababu pesa hakuna tunachelewa kuoa mpaka wazee wanatuchukua vitu zetu muhimu.
Kiukweli wasichana wetu mpunguze tamaa, sie vijana ni waoaji wa kweli na wenye mapenzi.Tuvumilieni kipindi hiki cha mpito vyuma vimekaza lakini penzi tunawapa.
Hakika napitia katika wakati mgumu kwa sasa, nimekuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanamke niliyekutana naye chuo tangu mwaka wa kwanza hadi tukamaliza chuo huku mapenzi yakiwa hot na kuaidiana ndoa baina yet.
Kwa sasa mambo yamekuwa tofauti, hali si hali kwa upande wangu.
Mbaba mtu mzima na makunyanzi ya uzee kanipiga bao kwa huyu kimwana wangu niliyependana naye sana, sijui nini kakikosa kwangu mpaka kuolewa na mzee angalau angechukuliwa hata na kijana mwenzangu ningemtakia kila la kheri huko alikokimbilia, lakini kwa sasa kwa huyo mzee hakika atanimiss tu.
Au kusugua bench tukisubiri ajira za awamu ya tano ndio sababu pesa hakuna tunachelewa kuoa mpaka wazee wanatuchukua vitu zetu muhimu.
Kiukweli wasichana wetu mpunguze tamaa, sie vijana ni waoaji wa kweli na wenye mapenzi.Tuvumilieni kipindi hiki cha mpito vyuma vimekaza lakini penzi tunawapa.