hopetumaini
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 529
- 318
Habari wakuu, bila kuchelewa niende kwenye tatizo ninalopata.
Nina mpenzi wangu, tuna mwaka na nusu kwenye uhusiano wetu. Tumekutana katika chuo kikubwa jiji la mtoto wa kolomije, wote tukiongeza elimu ya juu.
Ananipenda sana,ukizingatia Mimi ndio niliyembikili (ni nadra sana kukutana na binti bikra chuoni). Mtoto ni mchanganyiko wa kinyarwanda na kisukuma, kwa ufupi amekamilika kila idara.
Tatizo nalikutana nalo anatongozwa sana yaani mpaka kero, kila wiki lazima aje anieleze, mara flani ananisumbua mara kunajamaa kanisani ananisumbua,wengine nawajua wengine siwajui. Mara nyingi namshauri awajibu vibaya lakini naona wanaendelea tuu.
Naomba ushauri wakuu,nataka kupata mbinu za kijasusi kuwaadabisha wote wanaosumbua kipenzi changu.
Angalizo nimepanga kumuoa mwaka 2019 kama mungu akipenda.
Nawasilisha wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu, bila kuchelewa niende kwenye tatizo ninalopata.
Nina mpenzi wangu, tuna mwaka na nusu kwenye uhusiano wetu. Tumekutana katika chuo kikubwa jiji la mtoto wa kolomije, wote tukiongeza elimu ya juu.
Ananipenda sana,ukizingatia Mimi ndio niliyembikili (ni nadra sana kukutana na binti bikra chuoni). Mtoto ni mchanganyiko wa kinyarwanda na kisukuma, kwa ufupi amekamilika kila idara.
Tatizo nalikutana nalo anatongozwa sana yaani mpaka kero, kila wiki lazima aje anieleze, mara flani ananisumbua mara kunajamaa kanisani ananisumbua,wengine nawajua wengine siwajui. Mara nyingi namshauri awajibu vibaya lakini naona wanaendelea tuu.
Naomba ushauri wakuu,nataka kupata mbinu za kijasusi kuwaadabisha wote wanaosumbua kipenzi changu.
Angalizo nimepanga kumuoa mwaka 2019 kama mungu akipenda.
Nawasilisha wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna anaowakubali mkuu, kwa hili ninauhakika.Anaowakubalia hakwambii
Ngoja jioni nimwamshie dude, inawezekana anawapa nafasi watongozaji.Acha atongozwe maana amejiweka katika mazingira ya kutongozwa.
Mwanaume usipompa chance atakutongozaje?