Mpenzi wangu anatafuna meno usingizini

Mpenzi wangu anatafuna meno usingizini

Ni hali ya kawaida, mvumilie tu kama kweli unampenda. Wengi huanza wakiwa wadogo na kama wewe ni mkristo basi huo ni msalaba kwako kama Simon wa Kirene alivyoubeba kwa niaba ya Yesu.
 
Haahahaa yaani angalia vizurii maan atachoka kurafuna meno atakutafuna wewe!
 
Ni tatizo lisilo na madhara yoyote lkn fatilia ushauli unaofaa kwa wadau na ushauri wa kipuuzi na vijembe watoavyo wendawazimu wengne achana nao
 
Cha kufanya ni kumsaidia kuvuka hicho kizingiti jitahidi kila akitafuna uwe unamuamsha baada ya muda atajikuta ameacha
 
Analishwa nyama na wachawi tena nyama za watu hizo. SERIOUS mkuu hao ni wachawi wanafanya yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom