Harusi ni tukio jema sana na la kihistoria katika maisha ya ndoa, Kama upo na uwezo wa kufanya hivyo na wewe umemchagua huyo kuwa mwandani wa kufa na kuzikana ni ushauri mzuri. Na kwanini sasa bi harusi anasema anaomba Mungu ampe Bwana atakaye muoa kwa harusi na tayar Bwana ushapatikana?
Bwana kapatikana lakini ndo ivyo hataki Harusi
Ndugu zangu wanajamiiF,
Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa, lakini cha kushangaza anasema hawezi kuolewa bila harusi na mimi sipo tayari kufunga harusi, na anasema anaomba Mungu apate bwana atakaye muoa kwa harusi.
Naombeni ushauri wenu
Mle TIGO
wewe unaolewa lini tuje tule mpunga ?
mzamiaji naulizia
Mle TIGO
Ndugu zangu wanajamiiF,
Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa, lakini cha kushangaza anasema hawezi kuolewa bila harusi na mimi sipo tayari kufunga harusi, na anasema anaomba Mungu apate bwana atakaye muoa kwa harusi.
Naombeni ushauri wenu
Harusi ni tukio jema sana na la kihistoria katika maisha ya ndoa, Kama upo na uwezo wa kufanya hivyo na wewe umemchagua huyo kuwa mwandani wa kufa na kuzikana ni ushauri mzuri. Na kwanini sasa bi harusi anasema anaomba Mungu ampe Bwana atakaye muoa kwa harusi na tayar Bwana ushapatikana?
"Wedding is every woman's dream, and it is every man's nightmare"