Mpenzi wangu ananizidi umri!


Amenizidi umri mwaka mmoja, mingi hivyo
 
Kuoa mwanamke aliyekuzidi sana umri kwa mwanaume nisawa na kuoa mwanamke anayeelekea kulingana na mama yake. Hivyo hata kwa mwanamke mwenye kutafakari kutosha atajisikia kama anahusiana na mwanake badala ya mpenzie hata kama hajazaa.

Mtume Muhammad alimuoa ni Khadija akiwa mkubwa kwake,anipe tu!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Muoe tu,age is nothing but only numbers

Sawa ila kumbuka hili. Umri na dini ni vitu negligible ila vina madhara makubwa kama mtazamo ni tofauti au kama kuna mmoja ana walakini. Vitu hivi viwili vitakugharimu hapo badae.

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…