Mpenzi wangu ananichanganya

Mpenzi wangu ananichanganya

Wajamani nitakufa. Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu. Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki. Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu. Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo. Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo. Leo kazini kazi sikufanya. Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi. Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo, nimekoga matusi.

hahaha mahaba niteke kama boko haram
 
tunayaita mapenzi ya ukubwani.... na hapo bado, wenzio huwa wanaweuka!!!
 
Umebaki kilo ngapi mpaka nw... Utakufaaa,,,, mabinti mbona wapo wengi sana na wanaojua kupenda.. Acha utoto wa mapenzi ww
 
ukiacha au kuachwa wakati huna pa kujishikiza maumivu yanakuwa mara dufu pole sana, inauma na ni ngumu ila jikaze uendelee na maisha mengine
 
Mwanaaume lazima awe na msimamo vinginevyo utadhalilishwa hao dada zetu maana hawana uvumilivu
 
Wajamani nitakufa. Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu. Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki. Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu. Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo. Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo. Leo kazini kazi sikufanya. Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi. Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo, nimekoga matusi.

huyo mwanamke yeye ni rimoti wewe ni tv
 
Kazi ya moyo ni kusukuma damu na si kupenda hahahaha!!!!!!! msamaha wa nn sasa??
 
ukiacha au kuachwa wakati huna pa kujishikiza maumivu yanakuwa mara dufu pole sana, inauma na ni ngumu ila jikaze uendelee na maisha mengine

Mimi nadhani nimefanyiwa surgery ya moyo wakanitia moyo wa chuma.

Kwanza mimi mwanamke labda aniringie mengine siyo sex, nina uwezo mkubwa sana wa kukaa muda mrefu bila hiyo kitu, labda kama kunikomoa utakuwa utanitesa kwa mengine na hasa house keeping. Lakini otherwise i love my self.
 
Haaaahaaa duh utajirestisha ini pisi kwa uzembe wako mpwa kama vipi kazani kwa goma liko pekee ake?huu mtindo wa kusafiri bila spea tairi ndo madhara yake ukipata pancha porini lazima upagawe.
Tafuta na wewe mnyonge ummegee wenyewe wanasema inaongeza hadhi ya kiume neksti taimu uwe na spea tairi hata 2 kwa dharula.
 
Mimi nadhani nimefanyiwa surgery ya moyo wakanitia moyo wa chuma.

Kwanza mimi mwanamke labda aniringie mengine siyo sex, nina uwezo mkubwa sana wa kukaa muda mrefu bila hiyo kitu, labda kama kunikomoa utakuwa utanitesa kwa mengine na hasa house keeping. Lakini otherwise i love my self.

hujapenda ndio tatizo
 
WAPI "MBUTA LIKASU" ukuje hapa uchukue na hii mahaba zaidi ya......!!!!!
 
Mimi nadhani nimefanyiwa surgery ya moyo wakanitia moyo wa chuma.

Kwanza mimi mwanamke labda aniringie mengine siyo sex, nina uwezo mkubwa sana wa kukaa muda mrefu bila hiyo kitu, labda kama kunikomoa utakuwa utanitesa kwa mengine na hasa house keeping. Lakini otherwise i love my self.
hebu nipe siri ya mafanikio uniokoe na mie, make mi siwezi kukaa bila hiyo kitu na nikinyimwa nalia machozi kabisa na kamas zinatiririka kama mtoto wa kondoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom