Mpenzi wangu ananichanganya

Mpenzi wangu ananichanganya

Kwanini ulikurupuka na hukujipanga? Ungejiuliza Mara 2 nimeshindwa jee hii ya 3 mpaka 90 ntaweza bila yeye? Samahani sana ikiwa ntakua nimekukwaza, niulize yeye ndio Ana K peke Yale au unapewa vyengine hujawahi pewa? Au uhisi anakudharau kua your not a man enough for her? Kwa ufupi HAKUTAKI kachoka kukwambia Kwa maneno sasa anafanya Kwa vitendo... Ebu amka mwanamme...
 
hata maneno matakatifu yanasema shahada ni mara tatu mbona wataka endeleza ya nne?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom