Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 351
Wajamani nitakufa.
Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu.
Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki.
Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu.
Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo.
Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo.
Leo kazini kazi sikufanya.
Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi.
Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo,nimekoga matusi.
Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu.
Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki.
Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu.
Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo.
Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo.
Leo kazini kazi sikufanya.
Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi.
Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo,nimekoga matusi.