tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
Kupenda ni kiherehere chako tu. Kila siku tunatoa lekcha ila watu hawataki kusikia.
watasikiaje wakati mapenzi yana run dunia
Kupenda ni kiherehere chako tu. Kila siku tunatoa lekcha ila watu hawataki kusikia.
hebu nipe siri ya mafanikio uniokoe na mie, make mi siwezi kukaa bila hiyo kitu na nikinyimwa nalia machozi kabisa na kamas zinatiririka kama mtoto wa kondoo
hujapenda ndio tatizo
Kazi ya moyo ni kusukuma damu na si kupenda hahahaha!!!!!!! msamaha wa nn sasa??
moyo umegoma kusukuma damu
Wajamani nitakufa.
Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu.
Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki.
Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu.
Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo.
Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo.
Leo kazini kazi sikufanya.
Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi.
Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo,nimekoga matusi.
Asanteni sana
Kumbe mrangi ndo maana!
Wajamani nitakufa.
Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu.
Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki.
Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu.
Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo.
Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo.
Leo kazini kazi sikufanya.
Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi.
Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo,nimekoga matusi.
hihihi kumbe na nyie huwaga mna ka-small heart.. poyeeWajamani nitakufa.
Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu.
Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki.
Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu.
Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo.
Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo.
Leo kazini kazi sikufanya.
Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi.
Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo,nimekoga matusi.
Kula tano mkuu uko mulemule.warangi huwa wanakeketwa ndiyo huwa hawasikii dushelele moja hadi awe na mbili au tatu