SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,096
- 8,014
Uje ufungue uzi wa "b̥ḁn̥ḁb̥ḁn̥d̥u̥k̥ḁ" mkuu ili utoe darasa kwa tusiofahamu hiyo kitu.Apendelee kula nanasi na nyanya chungu ni zuri kwa mwanamke kwa ajili ya kuzalisha ute.Pia awe anakunywa maji kwa sana.Na kingine muhimu apate banabanduka ni kiboko kwa wanandoa ,hii banabanduka ni zoezi mwanamke anatakiwa kufanya uke unarudi na kuwa mdogo na pia anapata ute ute kwa wingi