Mpenzi wangu anakosa ute wakati wa tendo ushauri wako tafadhali

Apendelee kula nanasi na nyanya chungu ni zuri kwa mwanamke kwa ajili ya kuzalisha ute.Pia awe anakunywa maji kwa sana.Na kingine muhimu apate banabanduka ni kiboko kwa wanandoa ,hii banabanduka ni zoezi mwanamke anatakiwa kufanya uke unarudi na kuwa mdogo na pia anapata ute ute kwa wingi
Uje ufungue uzi wa "b̥ḁn̥ḁb̥ḁn̥d̥u̥k̥ḁ" mkuu ili utoe darasa kwa tusiofahamu hiyo kitu.
 
Na pia kubarikiwa tu alivyoumbwa mwanamke.. ila ndizi ni kibokooooo

wa huyu unaweza kukuta kamkasirisha kitu au kamboa au kuna jambo halimfurahishi na hisia zimekata kwake yeye kabisaaaaa..


Wewe mwaka na miezi mitatu unakopwa K tu hakuna mipango yoyote ya maana unaona ikifanyika unadhani itaacha kukauka?

Binti kachoka na yeye...hebu anzisha mchakato wa posa na ndoa uone atakavyokuwa analowa. Muoe binti wa watu, kha umemtumia mpaka utamu wake umeisha.

Halafu watu wanakushauri utumie KY unasema hutaki kutumia nini sijui. Hiyo ni hatua ya pili baada ya kwenda kupima magonjwa yahusikanayo.

Kisha tumia KY kwamuda ku-regulate psychology yake. Huenda alipata tatizo akakauka ila hata baada ya tatizo kuisha amebaki na psychological lag. So vilainishi vitamsaidia kuondoa kwa muda ile hofu maana muda wote atakuwa sawa. baada ya muda, punguza kiasi unachotumia, kama hamna magonjwa na ilikuwa ni tatizo la mpito atarejea hali yake.

Ila bana hebu fanya umuoe huyu binti...acheni ngono zembe!!!!
 
Back
Top Bottom