Mpenzi wangu anajimwambafai

Mpenzi wangu anajimwambafai

Wakuu kama kichwa kinavyosomeka, anajimwambafai kwa wenzake, anaringa kuwa na mimi, sasa changamoto inayokuja kila nikimtokea demu hapa mtaani anasema we c unapendwa, endelea kupendwa... Yaani wanaona wivu na wananitolea nje.
Mkuu shida ni demu wako kujimwambafy au shida wewe kukataliwa hapo mtaani?
 
Wakuu kama kichwa kinavyosomeka, anajimwambafai kwa wenzake, anaringa kuwa na mimi, sasa changamoto inayokuja kila nikimtokea demu hapa mtaani anasema we c unapendwa, endelea kupendwa... Yaani wanaona wivu na wananitolea nje.
Sawa kabisa! Acha uzinzi!!!
 
Alafu sisi majirani zako anatupa mzigo anasema we kwake hupindui.[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Demu wako kibungo hana maajabu ndo mana unakataliwa na ndo Maana anajimwambafai
 
Back
Top Bottom