Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,776
Wakuu kama kichwa kinavyosomeka, anajimwambafai kwa wenzake, anaringa kuwa na mimi. Sasa changamoto inayokuja kila nikimtokea demu hapa mtaani anasema we si unapendwa, endelea kupendwa.
Yaani wanaona wivu na wananitolea nje.
Yaani wanaona wivu na wananitolea nje.