Wewe cha kufanya tafuta mwanamume nawe ufunge ndoa iwe sarejaman nisaidien,mpenz wangu anafunga ndoa june,mwanzon aliniambia alikuwa na mtu wameachana coz hawakuwa na maelewano na walikuwa mbali mbali,nilimkubali badae akaniambia amekuja kuomba msamaha wamerudiana, nampenda huyu kaka mpaka nakondo na anaoa june,nisaidien nifanyeje?
Hyo yako mbona cha mtoto,me wangu kaolewa ijumaa ilyopita,na nimeona nkifkria sana naweza kufa kwa presha bure!we tulia zako,yupo alie andaliwa kwa ajili yako.
jaman nisaidien,mpenz wangu anafunga ndoa june,mwanzon aliniambia alikuwa na mtu wameachana coz hawakuwa na maelewano na walikuwa mbali mbali,nilimkubali badae akaniambia amekuja kuomba msamaha wamerudiana, nampenda huyu kaka mpaka nakondo na anaoa june,nisaidien nifanyeje?
Kuna dawa inatolewa na waganga ya kumrudisha mpenzi wako akupende kama chizi tafuta magazeti ya udaku utawaona matangazojaman nisaidien,mpenz wangu anafunga ndoa june,mwanzon aliniambia alikuwa na mtu wameachana coz hawakuwa na maelewano na walikuwa mbali mbali,nilimkubali badae akaniambia amekuja kuomba msamaha wamerudiana, nampenda huyu kaka mpaka nakondo na anaoa june,nisaidien nifanyeje?
ndio muungane ili mpeane faraja, maana inaonesha hakuna katiyenu alie na mpenzi kwa sasa so hamuwezi fanyiana kama mlivofanyiwa.