Kumhandle vibaya mpenzi wako ni upuuzi mara 100 ndo maana anatukumbuka ma X wake. Usilielie hapa umeharibu mwenyewe acha tukusaidie.
Habari wana JF MMU.
Nina girlfriend wangu takribani mwaka na miezi kadhaa niko naye.
Tatizo kubwa alilo nalo ni kiburi ambacho tangu niyajue mapenzi sijawahi kuona,hanisikilizi kwa chochote kile.
Kwa muda wote huo nimemvumilia sana na kwa upole wangu na busara nilizotumia kumrekebisha nilidhani angebadilika lakini wapi.
Nilishamuonya sana swala hili na yeye kuwasiliana na X wake akasema ataacha but still naona anaendelea ingawa siyo mawasiliano mabaya lakini ninahisi watazoeana tena na kuanza kukumbushia waliyokuwa wanafanya.
Hivi ni lazima uwe na mawasiliano na X wako?
Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.
Kwanini kawa X kama alikuwa ana muhandle vizuri? Mpaka anaenda kwa X ina maana hajui nini atakacho.Mkuu unahitaji uangalie filosofi zako kwa jicho la tatu
Sasa si bora kuacha kuwasiliana ili usahau??
Habari wana JF MMU.
Nina girlfriend wangu takribani mwaka na miezi kadhaa niko naye.
Tatizo kubwa alilo nalo ni kiburi ambacho tangu niyajue mapenzi sijawahi kuona,hanisikilizi kwa chochote kile.
Kwa muda wote huo nimemvumilia sana na kwa upole wangu na busara nilizotumia kumrekebisha nilidhani angebadilika lakini wapi.
Nilishamuonya sana swala hili na yeye kuwasiliana na X wake akasema ataacha but still naona anaendelea ingawa siyo mawasiliano mabaya lakini ninahisi watazoeana tena na kuanza kukumbushia waliyokuwa wanafanya.
Hivi ni lazima uwe na mawasiliano na X wako?
Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.
Hahahahahhah Mbona umetahayari mumy vipi?
Unaitwa mayonise...?
Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.
Mwanamke mwenye akili timamu huhitaji kumueleza umuhimu na sababu ya kutowasiliana na X,sasa huyu wako ulimlazimisha kabisa lakini bado hakuelewa.Mimi shemeji yako ni Mnyakyusa ila wa Tukuyu,wanyakyusa wa Kyela ndio inasemekana wana matatizo na viburi.Huyu wangu yeye mwenyewe kwa nafsi yake na upeo wake aliamua kuacha mawasiliano na rafiki zake wote wa kiume(hapa nisisitize kuwa ni marafiki zake sio X zake which means angekuwa X ndio kabisaaa wala asingekuwa hata na hamu ya kuwasiliana naye) baada ya kuanza naye uhusiano rasmi.
Sasa hapo amua mwenyewe kusuka au kunyoa